What's New Here?


Baada ya kuutangaza kwa muda mrefu, hatimaye Hemedy PHD atoa video ya wimbo wake mpya uitwao 'On my Wedding Day'

NEW VIDEO - HEMED PHD: ON MY WEDDING DAY


Baada ya kuutangaza kwa muda mrefu, hatimaye Hemedy PHD atoa video ya wimbo wake mpya uitwao 'On my Wedding Day'

V MONEY AAACHIA HER BRAND NEW VIDEO FROM THE BEST OF HER SONGS INAYOENDA KWA JINA NA COME OVER

VANESSA MDEE - COME OVER [OFFICIAL VIDEO].


V MONEY AAACHIA HER BRAND NEW VIDEO FROM THE BEST OF HER SONGS INAYOENDA KWA JINA NA COME OVER
MKUBWA NA WANAWE
YAMOTO BAND
PRODUCER: SHIRKO
WIMBO: NAJUTA




NEW VIDEO: 'MKUBWA NA WANAE 'YA MOTO BAND' - NITAJUTA.

MKUBWA NA WANAWE
YAMOTO BAND
PRODUCER: SHIRKO
WIMBO: NAJUTA




NGOLOLO MASTER NA MKALI KUTOKA THT LINAH WAFANYA NGOMA HII IKIWA NI ZAWADI KWA MASHABIKI. NI NGOMA AMBAYO NI KAMA REMI YA KIZAIZAI ILIYOFANYWA NA PLATNUMZ SIKU ZA NYUMA. ISIKILIZE NA KUIPAKUA HAPA

LINAH SANGA FROM THT FT DIAMOND, NGOLOLO MASTER

NGOLOLO MASTER NA MKALI KUTOKA THT LINAH WAFANYA NGOMA HII IKIWA NI ZAWADI KWA MASHABIKI. NI NGOMA AMBAYO NI KAMA REMI YA KIZAIZAI ILIYOFANYWA NA PLATNUMZ SIKU ZA NYUMA. ISIKILIZE NA KUIPAKUA HAPA

Pamoja na kukutana kwenye nyimbo za Kigoma AllStars, kwenye wimbo wa DullySykes ‘Utamu’ na kwenye ngoma ya Victoria Kimani ‘Prokoto’, Ommy Dimpoz na Diamond Platnumz hawajawahi kuachia wimbo rasmi wa pamoja.
Hivi karibuni Diamond alimpa shavu hitmaker wa ‘Ndagushima’ Ommy kwenye video ya wimbo aliomshirikisha Iyanya iliyofanyika jijini London, Uingereza na kuenea tetesi kuwa wawili hao wamepanga kufanya collabo kubwa ya pamoja itakayokuwa na video kali. amesema siku collabo yake na mtajwa huyo wa tuzo za BET, patachimbika. “Watu kwanza najua wanasubiria kwa hamu sana lakini trust me nakuambia siku utakayosikia moto umewaka basi itakuwa ni balaa na unaelewa kwamba wamanyema kwanza hawakosei. Sijui itakuwaje, lakini ni balaa. Halafu projects zipo nyingi tu lakini watu wasubirie tu waone itakuwaje lakini nakuambia ukweli itakuwa hatari sana,” alisema Ommy

DIAMOND PLATNUMZ WA MY NUMBER ONE NA OMMY DIMPOZ WA TUPOGO KUFANYA WIMBO WA PAMOJA

Pamoja na kukutana kwenye nyimbo za Kigoma AllStars, kwenye wimbo wa DullySykes ‘Utamu’ na kwenye ngoma ya Victoria Kimani ‘Prokoto’, Ommy Dimpoz na Diamond Platnumz hawajawahi kuachia wimbo rasmi wa pamoja.
Hivi karibuni Diamond alimpa shavu hitmaker wa ‘Ndagushima’ Ommy kwenye video ya wimbo aliomshirikisha Iyanya iliyofanyika jijini London, Uingereza na kuenea tetesi kuwa wawili hao wamepanga kufanya collabo kubwa ya pamoja itakayokuwa na video kali. amesema siku collabo yake na mtajwa huyo wa tuzo za BET, patachimbika. “Watu kwanza najua wanasubiria kwa hamu sana lakini trust me nakuambia siku utakayosikia moto umewaka basi itakuwa ni balaa na unaelewa kwamba wamanyema kwanza hawakosei. Sijui itakuwaje, lakini ni balaa. Halafu projects zipo nyingi tu lakini watu wasubirie tu waone itakuwaje lakini nakuambia ukweli itakuwa hatari sana,” alisema Ommy

This is what Lulu captioned the first photo!!! On her INSTAGRAM account “N now u can Kiss the BRIDE����....... Samahani Waheshimiwa Wabunge...hii ni kazi tu...sirudii tena...msituweke kwenye ile List cc @wemasepetu #Ndukiiiiiiiiii Cc @jotimdebwedo @tmt_tz
Then,




P

USICHOKIJUA KUHUSU NDOA YA LULU NA JOTI, UKWELI HUU HAPA


This is what Lulu captioned the first photo!!! On her INSTAGRAM account “N now u can Kiss the BRIDE����....... Samahani Waheshimiwa Wabunge...hii ni kazi tu...sirudii tena...msituweke kwenye ile List cc @wemasepetu #Ndukiiiiiiiiii Cc @jotimdebwedo @tmt_tz
Then,




P

Nafasi za kujiunga na kidato cha tano mwaka 2014  kwa wanafunzi waliomaliza mwaka jana zimetangazwa rasmi muda huu jijini dare s salaam na naibu waziri wa TAMISEMI  Bw KHASIM MAJALIWA  ambapo zaidi ya wanafunzi 16800 wamekosa nafasi hizo kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo upungufu wa shule za kidato cha tano….

Akitangaza majina na shule walizopangiwa wanafunzi hao Mh MAJALIWA amesema kuwa jumla ya wanafunzi 54085 sawa na alimilia 75.61 ya wanafunzi 71527 waliostahili kuingia kidato cha tano mwaka huu wamechaguliwa huku wavulanai ni 31352 wakati wasichana ni 22733 ambapo ni sawa na ongezeko la wanafunzi 20402 kwa kulinganisha na wanafunzi 33683 walochaguliwa mwaka jana.
majina
Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na shule mbalimbali wataanza kuripot katika meneo yao tarehe 10 julai mwaka huu ambapo mwisho wa kufika katika shule walizopangiwa ni tarehe 30 julai mwaka huu ambapo amesema kuwa kwa wale ambao watakuwa hawajaripot hadi tarehe hiyo nafasi zao zitajazwa na waliokosa nafasi.
——————————————–
Majina  ya  Wanafunzi  waliochaguliwa  kujiunga  Kidato  cha  Tano  mwaka  2014
1. Wasichana — Shule Zote  << BOFYA  HAPA>>

2. Wavulana — Majina ya Shule A Mpaka L   << BOFYA  HAPA>>

3 .Wavulana — Majina ya Shule M mpaka Z      << BOFYA  HAPA  >>

MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO MWAKA 2014

Nafasi za kujiunga na kidato cha tano mwaka 2014  kwa wanafunzi waliomaliza mwaka jana zimetangazwa rasmi muda huu jijini dare s salaam na naibu waziri wa TAMISEMI  Bw KHASIM MAJALIWA  ambapo zaidi ya wanafunzi 16800 wamekosa nafasi hizo kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo upungufu wa shule za kidato cha tano….

Akitangaza majina na shule walizopangiwa wanafunzi hao Mh MAJALIWA amesema kuwa jumla ya wanafunzi 54085 sawa na alimilia 75.61 ya wanafunzi 71527 waliostahili kuingia kidato cha tano mwaka huu wamechaguliwa huku wavulanai ni 31352 wakati wasichana ni 22733 ambapo ni sawa na ongezeko la wanafunzi 20402 kwa kulinganisha na wanafunzi 33683 walochaguliwa mwaka jana.
majina
Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na shule mbalimbali wataanza kuripot katika meneo yao tarehe 10 julai mwaka huu ambapo mwisho wa kufika katika shule walizopangiwa ni tarehe 30 julai mwaka huu ambapo amesema kuwa kwa wale ambao watakuwa hawajaripot hadi tarehe hiyo nafasi zao zitajazwa na waliokosa nafasi.
——————————————–
Majina  ya  Wanafunzi  waliochaguliwa  kujiunga  Kidato  cha  Tano  mwaka  2014
1. Wasichana — Shule Zote  << BOFYA  HAPA>>

2. Wavulana — Majina ya Shule A Mpaka L   << BOFYA  HAPA>>

3 .Wavulana — Majina ya Shule M mpaka Z      << BOFYA  HAPA  >>
Facebook nao wamefanya yao. Well hii ni safi sana na pongezi nyingi kwake Diamond Platnumz


BAADA YA TWITTER SASA AKOUNTI YA FACEBOOK YA DIAMOND PLATNUMZ YAWA VERIFIED

Facebook nao wamefanya yao. Well hii ni safi sana na pongezi nyingi kwake Diamond Platnumz





Yes she's back and here to stay. This is a song specially written by Nakaaya for her son KING KAI. 
Download "Nakaaya-Blessing" kupitia
Usikilize kupita link hii hapa chini

NAKAAYA SUMARI KURUDI TENA NA NGOMA KALI BAADA YA KUPOTEA NA MR POLITICIAN




Yes she's back and here to stay. This is a song specially written by Nakaaya for her son KING KAI. 
Download "Nakaaya-Blessing" kupitia
Usikilize kupita link hii hapa chini

Mlimbwende mwenye miaka 24 ambaye ameshinda taji la Miss U.S.A anajulikana kama Nia Sanchez.Miss USA 2014 Nia Sanchez

HUYU NDIYE MISS U.S.A ANAITWA NIA SANCHEZ


Mlimbwende mwenye miaka 24 ambaye ameshinda taji la Miss U.S.A anajulikana kama Nia Sanchez.Miss USA 2014 Nia Sanchez

Twitter umempa umiliki halali wa akaunti yake ya Twitter kwa kuwa Verified.

verifed 

Diamond Platnumz anaungana na mastar kadhaa wenye  verified kwenye akaunt zao ambao ni pamoja na Rais Jakaya Kikwete,Ambwene Yesaya ‘Ay’,Flavian Matata.January Makamba na baadhi ya mastaa.

katika kurasa zake za mitandao ya kijamii leo Diamond amewashukuru twitter kwa kuandika>>’Thank you Twitter', mtandao wa Twitter umempa umiliki halali wa akaunti yake ya Twitter kwa kuwa Verified.

TWITTER YAMPA DIAMOND PLATNUMZ UMILIKI HALALI WA AKAUNTI YAKE @diamondplatnuz


Twitter umempa umiliki halali wa akaunti yake ya Twitter kwa kuwa Verified.

verifed 

Diamond Platnumz anaungana na mastar kadhaa wenye  verified kwenye akaunt zao ambao ni pamoja na Rais Jakaya Kikwete,Ambwene Yesaya ‘Ay’,Flavian Matata.January Makamba na baadhi ya mastaa.

katika kurasa zake za mitandao ya kijamii leo Diamond amewashukuru twitter kwa kuandika>>’Thank you Twitter', mtandao wa Twitter umempa umiliki halali wa akaunti yake ya Twitter kwa kuwa Verified.



 Taasisi ya faridas foundation inatarajia kufanya uzinduzi wake rasmi siku ya tar 28/6/2014 siku ya jumamosi katika ukumbi wa crystal hall, blue pearl hotel, ubungo plaza kuanzia saa 6-12 jioni. Katika siku hyo taasisi itatoa misaada mbali mbali kwa walemavu ikiwemo baiskeli za walemavu, vyerehani, vifaa vya shule na vifaa vingine muhimu kwa walemavu ukiwa kama mdau au mtanzania unayeguswa na walemavu na ungependa kuhudhuria siku hyo maalumu kadi zinapatikana kwa mchango wa shilingi laki moja na kuendelea hii ikiambatana na chakula cha mchana vinywaji na burudani mbalimbali pia utakuwa umesaidia kuongeza idadi ya vifaa vitakavyotelewa kwa walemavu mbali mbali. Kutoa ni moyo sio utajiri. Endapo una kampuni au ungependa kushiriki kama kampuni au taasisi kwa kudhamini pia nafasi bado zipo wazi wasiliana nasi kupitia +255715186262 au email faridasfoundation@gmail.com

TAASISI YA FARIDA FOUNDATION KUFANYA UZINDUZI SIKU YA TAREHE 28/06/2014




 Taasisi ya faridas foundation inatarajia kufanya uzinduzi wake rasmi siku ya tar 28/6/2014 siku ya jumamosi katika ukumbi wa crystal hall, blue pearl hotel, ubungo plaza kuanzia saa 6-12 jioni. Katika siku hyo taasisi itatoa misaada mbali mbali kwa walemavu ikiwemo baiskeli za walemavu, vyerehani, vifaa vya shule na vifaa vingine muhimu kwa walemavu ukiwa kama mdau au mtanzania unayeguswa na walemavu na ungependa kuhudhuria siku hyo maalumu kadi zinapatikana kwa mchango wa shilingi laki moja na kuendelea hii ikiambatana na chakula cha mchana vinywaji na burudani mbalimbali pia utakuwa umesaidia kuongeza idadi ya vifaa vitakavyotelewa kwa walemavu mbali mbali. Kutoa ni moyo sio utajiri. Endapo una kampuni au ungependa kushiriki kama kampuni au taasisi kwa kudhamini pia nafasi bado zipo wazi wasiliana nasi kupitia +255715186262 au email faridasfoundation@gmail.com

SI YA KUKOSA, CHOCHOTE ONLINE MAGAZINE SASA LIKO KWENYE MTANDAO JISOMEE HAPO.



Kupata nafasi za ajira imekuwa ngumu siku hadi siku, hususani ukitilia maanani kuwa wahitimu wanazidi kuwa wengi na hali ngumu ya uchumi inafanya waajiri kushindwa kuongeza nafasi mpya za kazi. Hauna haja ya kukata tamaa ya kupata kazi ile unayoitarajia hata kama kuna ukiritimba mwingi katika soko la ajira kama vile watu kupeana kazi kwa kujuana, nafasi za kazi kutotangazwa  au kazi haipatikani mpaka rushwa itembee. Makala hii inaenda kujadili mambo ya msingi kwa yeyote anayetafuta kazi, uwe kwa sasa umeajiriwa unatafuta kazi mbadala au uwe hauna ajira unatafuta ajira, bila shaka mambo tunayojadili hapa yatakusaidia.
1.Mtazamo wako kuhusu ajira:
Fahamu kuwa bidhaa ni chochote kile ambacho kinatimiza mahitaji fulani. Mwenye kuhitaji bidhaa huwa tunamuita mteja.  Muajiri anatafuta mfanyakazi kwa kuwa analo hitaji la kazi fulani kukamilika, na anayo matarajio kadhaa toka kwa mfanyakazi anayemuajiri.   Hivyo wewe kama mfanyakazi mtarajiwa unayo ‘bidhaa’, yaani uwezo wako wa kutimiza majukumu fulani ambayo utatakiwa kufanya na muajiri. Kwahiyo mtazamo sahihi unaotakiwa kuwa nao wakati unatafuta kazi ni kuwa wewe ni muuzaji wa bidhaa, na muajiri wako mtarajiwa ni mteja.  Kwakuwa wapo ‘wafanyabiashara’ wengi wa hiyo bidhaa kama yako (watu wanaotafuta ajira), unahitajika basi kujipanga vema ili kumshawishi na kumfanya mteja wako  (muajiri mtarajiwa) aone kweli sababu ya kununua ‘bidhaa ‘toka kwako.
2.Wasifu wako ujitosheleze:
Ukiwa na mtazamo tuliouleza hapo juu wa kuwa wewe ni mfanyabiashara unauza bidhaa kwa mteja wako (muajiri), unatakiwa basi utumie vema wasifu wako (CV) kujieleza vema ili ‘mteja’ akukubali.Mambo ya kuzingatia katika wasifu wako ni kama yafuatavyo:-

  • Wasifu wako uendane na aina ya kazi unayo omba: Hivyo basi usiweke kila aina ya maelezo hata yale ambayo haya umuhimu na kazi husika. Mfano unaomba nafasi ya kazi ya uhasibu, lakini unaweka maelezo ya uzoefu wa sehemu tatu tofauti ya kazi za ulinzi.
  • Wasifu wako uonyeshe kweli unao uwezo wa kazi unayoiomba:  Hivyo basi usitaje tuu majina ya kampuni au asasi ulizofanya kazi na aina ya cheo ulichoshika ukiwa huko, bali eleza mambo ya msingi ambayo  ni mafanikio ya wewe kuwepo katika kampuni au asasi fulani uliyokuwepo. Mfano kwa kazi yako kama msimamizi wa ofisi, uliweza andaa mikutano  (itaje) ambayo ilikutanisha watendaji wakubwa wa kampuni yako ambapo kupitia maandalizi mazuri uliyoyafanya, kampuni yako iliweza kupendekezwa mara tatu mfulululizo kuandaa mikutano hiyo.
  • Wasifu wako uonyeshe utofauti wako wewe na watu wengine: Haitoshi kuandika katika CV yako kuwa umemaliza masomo ya ngazi ya stashahada au shahada, haitoshi kutaja kuwa umewahi kufanya kazi fulani mfano kazi ya usimamizi wa ofisi halafu ukaorodhesha majukumu ya msimamizi wa ofisi, mambo ambayo kwa ujumla yanajulikana kuwa ni majukumu ya msimamizi wa ofisi yeyote yule wa ofisi. Kumbuka wasifu wako (CV) ni nyaraka muhimu ya kumshawishi ‘mteja’ kuwa ananunua ‘bidhaa bora zaidi ya nyingine katika soko la ajira. Hivyo basi jipange kwa kuonyesha utofauti, badala ya kutaja tuu ngazi za juu za elimu ulizofanikiwa kufika, taja pia maeneo ambayo wewe kweli ‘upo mzuri’ yaani maeneo ambayo kweli haubabaishi katika ngazi hizo za elimu unazotaja. Pia kwa upande wa uzoefu wa kazi, taja mafanikio uliyokwisha pata kutoka ajira zako zilizopita, au tuseme mambo gani ‘mazito’ ulikamilisha na kusaidia ukiwa kwa waajiri wengine.

3. Fuata maelekezo kwa ufasaha:  
Unapowasilisha maombi yako ya ajira, hakikisha unafuata maelekezo yaliyotolewa katika tangazo la nafasi za kazi, kwani hata kama ni jambo dogo, utakalokosea linaweza kuchukuliwa kama sababu ya wewe kutokuwa mfanyakazi makini, hivyo kukosa hata nafasi ya kuitwa kwa usaili (interview). Mfano kama umeambiwa uorodheshe wadhamini watatu, hauna sababu ya kuorodhesha wadhamini wawili tuu. Kama umeambiwa utume maombi kwa njia ya posta, usitume maombi yako kwa barua pepe wala kupeleka kwa mkono.Hakikisha pia unafuata maelekezo ya tarehe na muda wa kuwasilisha maombi yako ya kazi. Pia zingatia maelekezo kuhusu vyeti na nyaraka nyingine unazotakiwa kuziambatanisha pamoja na barua yako ya maombi ya kazi. Kama umeambiwa utume CV yako tuu, usihangaike kutuma vitu vingine kama vyeti, na barua ya maombi ya kazi.
4.Barua ya maombi ibebe uzito:
Barua yako ya maombi ya kazi ni nafasi nyingine ya kushawishi ‘wateja’ wako kuwa kweli utawapatia huduma wanayoitaka, na kwamba watakapofanya chaguo la kukuajiri wewe watakuwa wamefanya chaguo bora kabisa. Anza kwa kueleza aina ya kazi unayoomba, umetambuaje uwepo wa nafasi hiyo ya kazi. Jieleze kwanini wewe ni chaguo lao bora kwa kulinganisha majukumu ya kazi unayoomba na ujuzi wako, uzoefu wako, na yale uliyokwisha wahi kufanikisha hapo kabla.  Kwakuwa barua ya maombi ya kazi huwa ni fupi, usiwachoshe kwa maelezo mengi, ila maelezo yako yawavutie kusoma nyaraka ulizoambatanisha kama vile CV na  vyeti .
5. Jiandae kwa ‘interview’:
Utakapopata nafasi ya kuitwa kwa usaili, usiende bila kujiandaa. Fahamu vema majukumu yanayoendana na nafasi ya kazi uliyoomba, hakikisha unakumbuka nini uliandika katika barua yako ya maombi ya kazi na CV yako. Jikumbushe mambo ya msingi kuhusu elimu ya darasani ambayo umetaja unayo. Jifunze pia maswali mbalimbali ya kisaikolojia yaulizwayo katika usaili , kama vile ‘Tuambie madhaifu yako ni yapi ?”. Unaweza jifunza jinsi ya kujibu maswali kama hayo kupitia vitabu au hata kwa ku search kwa mtandao.
6. Usisubiri nafasi za kazi zikufuate:
Amini kuwa kuna waajiri wengi ambao hawatangazi nafasi za kazi kwenye vyombo vya habari au mitandaoni. Pia wapo ambao wamekwisha tangaza lakini hawajapata watu wenye kukidhi kweli viwango vyao. Hivyo usingoje nafasi za ajira zikufuate kwa kupitia vyombo vya habari, badala yake wewe mwenyewe wasiliana na waajiri mbalimbali ukiwaeleza nia yako na uwezo wako wa kufanya kazi kwao.  Waweza tembelea ofisi za makampuni au asasi mbalimbali na pia tembelea website  na hata maonyesho ya biashara au maonyesho ya waajiri (Job Fairs). Njia nyingine ni kujenga mitandao na watu mbalimbali ambapo kupitia mitandao hiyo waweza jieleza hitaji lako la kutaka ajira. Kumbuka kama una ‘bidhaa’ bora, na ukimpata mteja mwenye kuhitaji ‘bidhaa’, bila shaka una nafasi kubwa ya kupata ajira.
7. Itunze ‘taswira’ yako:
Waajiri wengi hupenda kufahamu zaidi kuhusu mtu wanayetaka kumuajiri, sio tuu uwezo wake kiujuzi wa kazi, bali pia uaminifu wako, wewe ni mtu wa aina gani katika kujiheshimu na kujiheshimu wengine n.k. Hivyo hakikisha hauharibu ‘taswira’ yako kupitia aina ya marafiki ulionao, aina ya twitts, status, picha n.k unazoweka katika mitandao ya kijamii kama Facebook, na Twitter. Pia unapotaka kuacha kazi toka asasi fulani , jitahidi uache kwa amani, isije baadae waajiri wako wengine wakataka kujua aina gani ya mfanyakazi ulikuwa hapo kabla wakajibiwa habari isiyopendeza.

SIRI IMEFICHUKA, KAZI NJE NJE. SOMA HAPA UJIPATIE KAZI.


Kupata nafasi za ajira imekuwa ngumu siku hadi siku, hususani ukitilia maanani kuwa wahitimu wanazidi kuwa wengi na hali ngumu ya uchumi inafanya waajiri kushindwa kuongeza nafasi mpya za kazi. Hauna haja ya kukata tamaa ya kupata kazi ile unayoitarajia hata kama kuna ukiritimba mwingi katika soko la ajira kama vile watu kupeana kazi kwa kujuana, nafasi za kazi kutotangazwa  au kazi haipatikani mpaka rushwa itembee. Makala hii inaenda kujadili mambo ya msingi kwa yeyote anayetafuta kazi, uwe kwa sasa umeajiriwa unatafuta kazi mbadala au uwe hauna ajira unatafuta ajira, bila shaka mambo tunayojadili hapa yatakusaidia.
1.Mtazamo wako kuhusu ajira:
Fahamu kuwa bidhaa ni chochote kile ambacho kinatimiza mahitaji fulani. Mwenye kuhitaji bidhaa huwa tunamuita mteja.  Muajiri anatafuta mfanyakazi kwa kuwa analo hitaji la kazi fulani kukamilika, na anayo matarajio kadhaa toka kwa mfanyakazi anayemuajiri.   Hivyo wewe kama mfanyakazi mtarajiwa unayo ‘bidhaa’, yaani uwezo wako wa kutimiza majukumu fulani ambayo utatakiwa kufanya na muajiri. Kwahiyo mtazamo sahihi unaotakiwa kuwa nao wakati unatafuta kazi ni kuwa wewe ni muuzaji wa bidhaa, na muajiri wako mtarajiwa ni mteja.  Kwakuwa wapo ‘wafanyabiashara’ wengi wa hiyo bidhaa kama yako (watu wanaotafuta ajira), unahitajika basi kujipanga vema ili kumshawishi na kumfanya mteja wako  (muajiri mtarajiwa) aone kweli sababu ya kununua ‘bidhaa ‘toka kwako.
2.Wasifu wako ujitosheleze:
Ukiwa na mtazamo tuliouleza hapo juu wa kuwa wewe ni mfanyabiashara unauza bidhaa kwa mteja wako (muajiri), unatakiwa basi utumie vema wasifu wako (CV) kujieleza vema ili ‘mteja’ akukubali.Mambo ya kuzingatia katika wasifu wako ni kama yafuatavyo:-

  • Wasifu wako uendane na aina ya kazi unayo omba: Hivyo basi usiweke kila aina ya maelezo hata yale ambayo haya umuhimu na kazi husika. Mfano unaomba nafasi ya kazi ya uhasibu, lakini unaweka maelezo ya uzoefu wa sehemu tatu tofauti ya kazi za ulinzi.
  • Wasifu wako uonyeshe kweli unao uwezo wa kazi unayoiomba:  Hivyo basi usitaje tuu majina ya kampuni au asasi ulizofanya kazi na aina ya cheo ulichoshika ukiwa huko, bali eleza mambo ya msingi ambayo  ni mafanikio ya wewe kuwepo katika kampuni au asasi fulani uliyokuwepo. Mfano kwa kazi yako kama msimamizi wa ofisi, uliweza andaa mikutano  (itaje) ambayo ilikutanisha watendaji wakubwa wa kampuni yako ambapo kupitia maandalizi mazuri uliyoyafanya, kampuni yako iliweza kupendekezwa mara tatu mfulululizo kuandaa mikutano hiyo.
  • Wasifu wako uonyeshe utofauti wako wewe na watu wengine: Haitoshi kuandika katika CV yako kuwa umemaliza masomo ya ngazi ya stashahada au shahada, haitoshi kutaja kuwa umewahi kufanya kazi fulani mfano kazi ya usimamizi wa ofisi halafu ukaorodhesha majukumu ya msimamizi wa ofisi, mambo ambayo kwa ujumla yanajulikana kuwa ni majukumu ya msimamizi wa ofisi yeyote yule wa ofisi. Kumbuka wasifu wako (CV) ni nyaraka muhimu ya kumshawishi ‘mteja’ kuwa ananunua ‘bidhaa bora zaidi ya nyingine katika soko la ajira. Hivyo basi jipange kwa kuonyesha utofauti, badala ya kutaja tuu ngazi za juu za elimu ulizofanikiwa kufika, taja pia maeneo ambayo wewe kweli ‘upo mzuri’ yaani maeneo ambayo kweli haubabaishi katika ngazi hizo za elimu unazotaja. Pia kwa upande wa uzoefu wa kazi, taja mafanikio uliyokwisha pata kutoka ajira zako zilizopita, au tuseme mambo gani ‘mazito’ ulikamilisha na kusaidia ukiwa kwa waajiri wengine.

3. Fuata maelekezo kwa ufasaha:  
Unapowasilisha maombi yako ya ajira, hakikisha unafuata maelekezo yaliyotolewa katika tangazo la nafasi za kazi, kwani hata kama ni jambo dogo, utakalokosea linaweza kuchukuliwa kama sababu ya wewe kutokuwa mfanyakazi makini, hivyo kukosa hata nafasi ya kuitwa kwa usaili (interview). Mfano kama umeambiwa uorodheshe wadhamini watatu, hauna sababu ya kuorodhesha wadhamini wawili tuu. Kama umeambiwa utume maombi kwa njia ya posta, usitume maombi yako kwa barua pepe wala kupeleka kwa mkono.Hakikisha pia unafuata maelekezo ya tarehe na muda wa kuwasilisha maombi yako ya kazi. Pia zingatia maelekezo kuhusu vyeti na nyaraka nyingine unazotakiwa kuziambatanisha pamoja na barua yako ya maombi ya kazi. Kama umeambiwa utume CV yako tuu, usihangaike kutuma vitu vingine kama vyeti, na barua ya maombi ya kazi.
4.Barua ya maombi ibebe uzito:
Barua yako ya maombi ya kazi ni nafasi nyingine ya kushawishi ‘wateja’ wako kuwa kweli utawapatia huduma wanayoitaka, na kwamba watakapofanya chaguo la kukuajiri wewe watakuwa wamefanya chaguo bora kabisa. Anza kwa kueleza aina ya kazi unayoomba, umetambuaje uwepo wa nafasi hiyo ya kazi. Jieleze kwanini wewe ni chaguo lao bora kwa kulinganisha majukumu ya kazi unayoomba na ujuzi wako, uzoefu wako, na yale uliyokwisha wahi kufanikisha hapo kabla.  Kwakuwa barua ya maombi ya kazi huwa ni fupi, usiwachoshe kwa maelezo mengi, ila maelezo yako yawavutie kusoma nyaraka ulizoambatanisha kama vile CV na  vyeti .
5. Jiandae kwa ‘interview’:
Utakapopata nafasi ya kuitwa kwa usaili, usiende bila kujiandaa. Fahamu vema majukumu yanayoendana na nafasi ya kazi uliyoomba, hakikisha unakumbuka nini uliandika katika barua yako ya maombi ya kazi na CV yako. Jikumbushe mambo ya msingi kuhusu elimu ya darasani ambayo umetaja unayo. Jifunze pia maswali mbalimbali ya kisaikolojia yaulizwayo katika usaili , kama vile ‘Tuambie madhaifu yako ni yapi ?”. Unaweza jifunza jinsi ya kujibu maswali kama hayo kupitia vitabu au hata kwa ku search kwa mtandao.
6. Usisubiri nafasi za kazi zikufuate:
Amini kuwa kuna waajiri wengi ambao hawatangazi nafasi za kazi kwenye vyombo vya habari au mitandaoni. Pia wapo ambao wamekwisha tangaza lakini hawajapata watu wenye kukidhi kweli viwango vyao. Hivyo usingoje nafasi za ajira zikufuate kwa kupitia vyombo vya habari, badala yake wewe mwenyewe wasiliana na waajiri mbalimbali ukiwaeleza nia yako na uwezo wako wa kufanya kazi kwao.  Waweza tembelea ofisi za makampuni au asasi mbalimbali na pia tembelea website  na hata maonyesho ya biashara au maonyesho ya waajiri (Job Fairs). Njia nyingine ni kujenga mitandao na watu mbalimbali ambapo kupitia mitandao hiyo waweza jieleza hitaji lako la kutaka ajira. Kumbuka kama una ‘bidhaa’ bora, na ukimpata mteja mwenye kuhitaji ‘bidhaa’, bila shaka una nafasi kubwa ya kupata ajira.
7. Itunze ‘taswira’ yako:
Waajiri wengi hupenda kufahamu zaidi kuhusu mtu wanayetaka kumuajiri, sio tuu uwezo wake kiujuzi wa kazi, bali pia uaminifu wako, wewe ni mtu wa aina gani katika kujiheshimu na kujiheshimu wengine n.k. Hivyo hakikisha hauharibu ‘taswira’ yako kupitia aina ya marafiki ulionao, aina ya twitts, status, picha n.k unazoweka katika mitandao ya kijamii kama Facebook, na Twitter. Pia unapotaka kuacha kazi toka asasi fulani , jitahidi uache kwa amani, isije baadae waajiri wako wengine wakataka kujua aina gani ya mfanyakazi ulikuwa hapo kabla wakajibiwa habari isiyopendeza.

Kwa mujibu wa Zitto, Saida ambaye hadi umauti unamkuta, alikuwa mwenyekiti wa Chama cha Walemavu nchini, mjumbe wa bunge maalum la katiba na mjumbe wa kamati kuu ya CHADEMA, atazikwa Jumatatu Juni 2, huko Mwanga-Kisangani baada ya sala ya mchana (Adhuhuri). Ameacha mume, na watoto 10, wanaume 6 na wakike wanne. alisema Zitto.

Mama yake Zitto, alifariki mapema saa 5 asubuhi, akiwa na umri wa miaka 64, kwenye hospitali ya AMI, Msasani jijini Dar es Salaam, alikokuwa akipatiwa matibabu ya kansa ya kizazi baada ya kusumbuliwa na maradhi ya saratani mapema Agosti mwaka jana lakini hali yake ilibadilika mapema mwaka huu.


nyumba ya mapumziko ya milele.
============================== ============================== =====


Mbunge wa Kigoma Kaskazini (CHADEMA), Zitto Kabwe, (Wakwanza kushoto), baba yake mzazi Zuberi Kabwe (Wakwanza kulia) na waombolezaji wengine, wakiomba dua kwenye msikiti wa Maamur Upanga jijini Dar es Salaam huku picha ya chini, waombolezaji wakiingiza kwenye gari jeneza lenye mwili wa Saida Salum, mama mzazi wa Zitto tayari kuelekea uwanja wa ndege.



Wakazi wa jiji wakiingiza mwili wa Mama mzazi wa Zito Kabwe Mbunge wa Kigoma Kaskazini (Shida Salumu)katika gari tayari kwa Safari ya kuelekea Kigoma mara baada ya kuswaliwa katika msikiti wa Maamul jijini Dar es Salaam jana.Marehemu anatarajiwa kuzikwa mjini kigoma

Mbunge wa Musuma Vijijini Nimrod Mkono (kulia) na Mbunge wa Bunda Stephen Wasira (kushoto) wakifariji Mbunge wa Kigoma Kaskazini,Zito Kabwe kwa kufiwa na Mama yake Mzazi.


Picha chini zinaonyesha baadhi ya waombolezaji waliohudhuria swala ya kuswalia Marehemu Shida Salum, Mama yake Zitto Kabwe.





Zitto kabwe akiwa na Prof Ibrahimu Lipumba wakati wa kuuaga Mwili wa mama yake kipenzi Bi Shida Salumu kabla ya kusafirishwa kwenda Kigoma kwa mazishi.

Ndege Ikiandaliwa Ili kuweza Kuingiza Mwili wa Marehemu Mama yake Zitto Kabwe.

Kardinali Polycarp Pengo akiwa na Rais wa TASWA, Juma Pinto akiwa VIP JKN Airport walipokutana wakati wa kuaga mwili wa Mama yake Zitto Kabwe,

Waheshimiwa Wabunge na Baadhi ya Viongozi wakibeba Jeneza lililobeba Mwili wa Marehemu Mama yake Zitto Kabwe, Bi Shida Salum kuingiza kwenye ndege tayari kwa safari ya kwenda Kigoma Kwenye mazishi

Prof Ibrahimu Lipumba akijadili jambo na mwezie baada ya kupakia mwili wa marehemu kwenye ndege kuelekea kigoma Kwenye maziko

ZITO KABWE AELEZA KWA KIFUPI HISTORIA YA MAMA YAKE WAKATI WA KUAAGA TAYARI KWA SAFARI YA KIGOMA

Kwa mujibu wa Zitto, Saida ambaye hadi umauti unamkuta, alikuwa mwenyekiti wa Chama cha Walemavu nchini, mjumbe wa bunge maalum la katiba na mjumbe wa kamati kuu ya CHADEMA, atazikwa Jumatatu Juni 2, huko Mwanga-Kisangani baada ya sala ya mchana (Adhuhuri). Ameacha mume, na watoto 10, wanaume 6 na wakike wanne. alisema Zitto.

Mama yake Zitto, alifariki mapema saa 5 asubuhi, akiwa na umri wa miaka 64, kwenye hospitali ya AMI, Msasani jijini Dar es Salaam, alikokuwa akipatiwa matibabu ya kansa ya kizazi baada ya kusumbuliwa na maradhi ya saratani mapema Agosti mwaka jana lakini hali yake ilibadilika mapema mwaka huu.


nyumba ya mapumziko ya milele.
============================== ============================== =====


Mbunge wa Kigoma Kaskazini (CHADEMA), Zitto Kabwe, (Wakwanza kushoto), baba yake mzazi Zuberi Kabwe (Wakwanza kulia) na waombolezaji wengine, wakiomba dua kwenye msikiti wa Maamur Upanga jijini Dar es Salaam huku picha ya chini, waombolezaji wakiingiza kwenye gari jeneza lenye mwili wa Saida Salum, mama mzazi wa Zitto tayari kuelekea uwanja wa ndege.



Wakazi wa jiji wakiingiza mwili wa Mama mzazi wa Zito Kabwe Mbunge wa Kigoma Kaskazini (Shida Salumu)katika gari tayari kwa Safari ya kuelekea Kigoma mara baada ya kuswaliwa katika msikiti wa Maamul jijini Dar es Salaam jana.Marehemu anatarajiwa kuzikwa mjini kigoma

Mbunge wa Musuma Vijijini Nimrod Mkono (kulia) na Mbunge wa Bunda Stephen Wasira (kushoto) wakifariji Mbunge wa Kigoma Kaskazini,Zito Kabwe kwa kufiwa na Mama yake Mzazi.


Picha chini zinaonyesha baadhi ya waombolezaji waliohudhuria swala ya kuswalia Marehemu Shida Salum, Mama yake Zitto Kabwe.





Zitto kabwe akiwa na Prof Ibrahimu Lipumba wakati wa kuuaga Mwili wa mama yake kipenzi Bi Shida Salumu kabla ya kusafirishwa kwenda Kigoma kwa mazishi.

Ndege Ikiandaliwa Ili kuweza Kuingiza Mwili wa Marehemu Mama yake Zitto Kabwe.

Kardinali Polycarp Pengo akiwa na Rais wa TASWA, Juma Pinto akiwa VIP JKN Airport walipokutana wakati wa kuaga mwili wa Mama yake Zitto Kabwe,

Waheshimiwa Wabunge na Baadhi ya Viongozi wakibeba Jeneza lililobeba Mwili wa Marehemu Mama yake Zitto Kabwe, Bi Shida Salum kuingiza kwenye ndege tayari kwa safari ya kwenda Kigoma Kwenye mazishi

Prof Ibrahimu Lipumba akijadili jambo na mwezie baada ya kupakia mwili wa marehemu kwenye ndege kuelekea kigoma Kwenye maziko

Like, share and send to friends

Jiunge nasi