Habari, Michezo, Siasa, Elimu, Muziki na Matangazo
What's New Here?
Mgombea wa Chama cha upinzani nchini Malawi Peter Mutharika ametangazwa mshindi katika uchaguzi wa urais uliozua utata.
Mutharika wa Chama cha Democratic Progressive Party amepata asilimia 36.4 ya kura, imetangaza tume ya uchaguzi nchini humo.
Rais anayeondoka madarakani Joyce Banda amedai uchaguzi huo ulivurugwa.
Tume ya uchaguzi ya Malawi (MEC) iliomba siku 30 za ziada ili kura zihesabiwe upya kabla ya kutangaza matokeo.
Hata hivyo, Mahakama Kuu ilitupilia mbali ombi hilo na kutoa amri ya matokeo kutangaza siku ya Ijumaa.
"Sheria iko wazi, hakuna kuongeza muda," amesema Jaji Kenyatta Nyirenda.
Bwana Mutharika ni ndugu yake Rais Bingu wa Mutharika aliyefariki dunia mwaka 2012. Peter Mutharika alikuwa Waziri wa mambo ya nje wakati ndugu yake akiwa rais.
PETER MUTHARIKA RAIS MPYA MALAWI, BAADA YA KUMBWAGA MH. JOYCE BANDA
Mgombea wa Chama cha upinzani nchini Malawi Peter Mutharika ametangazwa mshindi katika uchaguzi wa urais uliozua utata.
Mutharika wa Chama cha Democratic Progressive Party amepata asilimia 36.4 ya kura, imetangaza tume ya uchaguzi nchini humo.
Rais anayeondoka madarakani Joyce Banda amedai uchaguzi huo ulivurugwa.
Tume ya uchaguzi ya Malawi (MEC) iliomba siku 30 za ziada ili kura zihesabiwe upya kabla ya kutangaza matokeo.
Hata hivyo, Mahakama Kuu ilitupilia mbali ombi hilo na kutoa amri ya matokeo kutangaza siku ya Ijumaa.
"Sheria iko wazi, hakuna kuongeza muda," amesema Jaji Kenyatta Nyirenda.
Bwana Mutharika ni ndugu yake Rais Bingu wa Mutharika aliyefariki dunia mwaka 2012. Peter Mutharika alikuwa Waziri wa mambo ya nje wakati ndugu yake akiwa rais.
KUITWA KWENYE USAILI
KAMISHNA MKUU WA IDARA YA UHAMIAJI ANAWATANGAZIA KUITWA KWENYE USAILI KWA NAFASI ZA KONSTEBO WA UHAMIAJI NA KOPLO WA UHAMIAJI, USAILI UTAFANYIKA KUANZIA TAREHE 09.06.2014 HADI TAREHE 26.06.2014 KUANZIA SAA 2:00 ASUBUHI KATIKA UKUMBI WA BARAZA LA MAASKOFU (TEC) KURASINI BARABARA YA NELSON MANDELA.
Kufungua Majina ya walioitwa(pdf) BOFYA HAPA
Download attachments: uhamiaji_majina.zip
WALIOITWA KWENYE USAILI IDARA YA UHAMIAJI
KUITWA KWENYE USAILI
KAMISHNA MKUU WA IDARA YA UHAMIAJI ANAWATANGAZIA KUITWA KWENYE USAILI KWA NAFASI ZA KONSTEBO WA UHAMIAJI NA KOPLO WA UHAMIAJI, USAILI UTAFANYIKA KUANZIA TAREHE 09.06.2014 HADI TAREHE 26.06.2014 KUANZIA SAA 2:00 ASUBUHI KATIKA UKUMBI WA BARAZA LA MAASKOFU (TEC) KURASINI BARABARA YA NELSON MANDELA.
Kufungua Majina ya walioitwa(pdf) BOFYA HAPA
Download attachments: uhamiaji_majina.zip
"Gari alilopata nalo ajali Marehemu George Tyson saa kumi na mbili jioni May 30 2014 akitokea Dodoma - Dar es salaam. picha kutoka djchokamusic.com"
Picha hizi zilipigwa masaa manne kabla@jojityson hajapata ajali iliyo chukua maisha yake. "Marehemu Geogre Tyson pichani alikuwa yupo kijiji cha Chilonwa Chamwino Dodoma, kwenye utoaji wa madawati katika shule ya msingi Chaula iliyopo Dodoma. Baada ya kumaliza shughuli hii huku akiwa kama producer wa The Mboni Show mauti yalimkuta majira ya saa 12 jioni masaa 4 tu toka tuanze safari ya kurudi Dar es Salaam maeneo fulani hivi kama unataka kukaribia GAIRO mjini. Katika gari hilo walikuwa watu 8 ila yeye pekee ndio aliyepoteza maisha na wengine kupata majeraha mwilini pamoja na dereva wa gari hilo. Kwa sasa mwili wa marehemu umehifadhiwa hapa Morogoro katika hospital ya mkoa Morogoro, baadae asubuhi mwili utaanza safari ya kurudi Dar es Salaam." Msiba upo nyumbani kwa marehemu Bahari Beach.
PICHA ZA AJALI YA GEORGE TYSON HUKO MOROGORO
"Gari alilopata nalo ajali Marehemu George Tyson saa kumi na mbili jioni May 30 2014 akitokea Dodoma - Dar es salaam. picha kutoka djchokamusic.com"
Picha hizi zilipigwa masaa manne kabla@jojityson hajapata ajali iliyo chukua maisha yake. "Marehemu Geogre Tyson pichani alikuwa yupo kijiji cha Chilonwa Chamwino Dodoma, kwenye utoaji wa madawati katika shule ya msingi Chaula iliyopo Dodoma. Baada ya kumaliza shughuli hii huku akiwa kama producer wa The Mboni Show mauti yalimkuta majira ya saa 12 jioni masaa 4 tu toka tuanze safari ya kurudi Dar es Salaam maeneo fulani hivi kama unataka kukaribia GAIRO mjini. Katika gari hilo walikuwa watu 8 ila yeye pekee ndio aliyepoteza maisha na wengine kupata majeraha mwilini pamoja na dereva wa gari hilo. Kwa sasa mwili wa marehemu umehifadhiwa hapa Morogoro katika hospital ya mkoa Morogoro, baadae asubuhi mwili utaanza safari ya kurudi Dar es Salaam." Msiba upo nyumbani kwa marehemu Bahari Beach.
• Responsible for managing Marketing & Sales categories and meet local targets of cost, quality, time, guarantees and services
• Responsible of efficiently managing the day to day relationship and transactions with Suppliers within Marketing & Sales categories, ensuring compliance with contracted terms and conditions, and MIC Internal Control policies
Key Responsibilities
• Develop and execute the Category Supply Strategy to achieve best in class Supplier Base
• Coordinate and negotiate requirements with local internal customers, and support them with the commercial side of enforcing contracted terms and performance
• Develop in depth industry understanding within his/her assigned Category, specifically concerning local competitive forces, breakthrough business or technology advances, and cost structure
• Support Local HoD P&SC and Procurement Manager in the development of specific category strategies and any other duties to be assigned
• Support Global P&SC Team in the development of specific category strategies, global tenders and / or negotiations
• Develop and execute the Category Supply Strategy to achieve best in class Supplier Base
• Coordinate and negotiate requirements with local internal customers, and support them with the commercial side of enforcing contracted terms and performance
• Develop in depth industry understanding within his/her assigned Category, specifically concerning local competitive forces, breakthrough business or technology advances, and cost structure
• Support Local HoD P&SC and Procurement Manager in the development of specific category strategies and any other duties to be assigned
• Support Global P&SC Team in the development of specific category strategies, global tenders and / or negotiations
Position Requirements
• Bachelor in Business Administration,Engineerings, Technical or Economic and/or related careers
• Graduate level required, MBA desirable
• Bachelor in Business Administration,Engineerings, Technical or Economic and/or related careers
• Graduate level required, MBA desirable
KAMPUNI YA TIGO WATANGAZA NAFASI ZA KAZI, ZIANGALIE HAPA
• Responsible for managing Marketing & Sales categories and meet local targets of cost, quality, time, guarantees and services
• Responsible of efficiently managing the day to day relationship and transactions with Suppliers within Marketing & Sales categories, ensuring compliance with contracted terms and conditions, and MIC Internal Control policies
Key Responsibilities
• Develop and execute the Category Supply Strategy to achieve best in class Supplier Base
• Coordinate and negotiate requirements with local internal customers, and support them with the commercial side of enforcing contracted terms and performance
• Develop in depth industry understanding within his/her assigned Category, specifically concerning local competitive forces, breakthrough business or technology advances, and cost structure
• Support Local HoD P&SC and Procurement Manager in the development of specific category strategies and any other duties to be assigned
• Support Global P&SC Team in the development of specific category strategies, global tenders and / or negotiations
• Develop and execute the Category Supply Strategy to achieve best in class Supplier Base
• Coordinate and negotiate requirements with local internal customers, and support them with the commercial side of enforcing contracted terms and performance
• Develop in depth industry understanding within his/her assigned Category, specifically concerning local competitive forces, breakthrough business or technology advances, and cost structure
• Support Local HoD P&SC and Procurement Manager in the development of specific category strategies and any other duties to be assigned
• Support Global P&SC Team in the development of specific category strategies, global tenders and / or negotiations
Position Requirements
• Bachelor in Business Administration,Engineerings, Technical or Economic and/or related careers
• Graduate level required, MBA desirable
• Bachelor in Business Administration,Engineerings, Technical or Economic and/or related careers
• Graduate level required, MBA desirable
Taarifa zilizotufikia hivi punde zinasema mongozaji wa filamu maarufu nchini George Otieno Tyson (Pichani) amefariki dunia kwa ajali ya gari huko Morogoro.
Taarifa hizi ambazo zimethibitishwa na watu wa karibu yake zinasema kuwa, mauti haya yamemfika baada ya gari walilokuwa wakisafiria kupata ajali na kupinduka walipokuwa wameenda kwa ajili ya kipindi cha The mboni show ambacho yeye alikuwa ndiye muongozaji mkuu.
Wasanii na mastaa mbalimbali nchini wameoneshwa masikitiko yako juu ya kifo hichi ikikumbukwa kuwa ni siku tano tu zimepita tangu mwigizaji Rachel Haule alipotutoka.
Akiwa kazini enzi za uhai wake |
Batuli: - Niongee nini, niseme nini Mwenyezi Mungu tusamehe sie waja wako, Yarabbi eeeeeh Mola wng, R.I.P My brother, My shemeji, My director......Eeeeeh Mola mpokee George Tyson wetu, Poleni wasanii wenzangu, Poleni team nzima ya the mboni show thembonishow Pole Monalisa wangu
Rose Ndauka: Ki ukweli sina LA kusema ila asante baba wa mbinguni kwa kila jambo. ...mola mpokee ndugu yetu, kwa mikono salama na umlaze pema peponi ameen.....R.I.P George Tyson.
Agness Masogange: R.I.P George tyson mm siamin bado jmn E Mungu tuhurumie waja wako!
Flaviana Matata : This is very sad aisee,Rest In Peace Tyson.Mungu kakupenda zaidi, - monalisa pole sana dadangu,Mwenyezi Mungu awatie nguvu
Wema Sepetu - Kwa mara ya tatu bila hata kupumzika week... tunamzika mwenzetu mwingine... George Tyson.... Dah... Im just speechless.. RIP brother... Dah sijui Da Mboni wangu ana hali gani aisee.... Pole dada akee ... Mungu akupe nguvu wewe pamoja na team yote ya @thembonishow .... Pigo kubwa tena kwa wasanii.... Tunaisha tu jamani.
Aunty Ezekiel - Mungu wang Naomba useme na sisi jaman Mungu baba tuone sisi jaman Naumia siwezi elezea jaman RIP Tyson wang jaman Rip director .....Nakosa lakusema
Mohamed Mwikongi : Hakika yametufika, A film director George Otieno Tyson naye hatunae tena duniani.
George Tyson aliwahi kuwa mume wa mwigizaji Monalisa na kuweza kuzaa naye mtoto mmoja.
Akiwa na Mboni Mwasimbi wa The Mboni Show |
Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi.
BREAKING NEWS: BONGO MOVIE TENA - MWONGOZAJI WA FILAMU GEORGE TYSON AFARIKI DUNIA KWA AJARI YA GARI MKOANI MOROGOR
Taarifa zilizotufikia hivi punde zinasema mongozaji wa filamu maarufu nchini George Otieno Tyson (Pichani) amefariki dunia kwa ajali ya gari huko Morogoro.
Taarifa hizi ambazo zimethibitishwa na watu wa karibu yake zinasema kuwa, mauti haya yamemfika baada ya gari walilokuwa wakisafiria kupata ajali na kupinduka walipokuwa wameenda kwa ajili ya kipindi cha The mboni show ambacho yeye alikuwa ndiye muongozaji mkuu.
Wasanii na mastaa mbalimbali nchini wameoneshwa masikitiko yako juu ya kifo hichi ikikumbukwa kuwa ni siku tano tu zimepita tangu mwigizaji Rachel Haule alipotutoka.
Akiwa kazini enzi za uhai wake |
Batuli: - Niongee nini, niseme nini Mwenyezi Mungu tusamehe sie waja wako, Yarabbi eeeeeh Mola wng, R.I.P My brother, My shemeji, My director......Eeeeeh Mola mpokee George Tyson wetu, Poleni wasanii wenzangu, Poleni team nzima ya the mboni show thembonishow Pole Monalisa wangu
Rose Ndauka: Ki ukweli sina LA kusema ila asante baba wa mbinguni kwa kila jambo. ...mola mpokee ndugu yetu, kwa mikono salama na umlaze pema peponi ameen.....R.I.P George Tyson.
Agness Masogange: R.I.P George tyson mm siamin bado jmn E Mungu tuhurumie waja wako!
Flaviana Matata : This is very sad aisee,Rest In Peace Tyson.Mungu kakupenda zaidi, - monalisa pole sana dadangu,Mwenyezi Mungu awatie nguvu
Wema Sepetu - Kwa mara ya tatu bila hata kupumzika week... tunamzika mwenzetu mwingine... George Tyson.... Dah... Im just speechless.. RIP brother... Dah sijui Da Mboni wangu ana hali gani aisee.... Pole dada akee ... Mungu akupe nguvu wewe pamoja na team yote ya @thembonishow .... Pigo kubwa tena kwa wasanii.... Tunaisha tu jamani.
Aunty Ezekiel - Mungu wang Naomba useme na sisi jaman Mungu baba tuone sisi jaman Naumia siwezi elezea jaman RIP Tyson wang jaman Rip director .....Nakosa lakusema
Mohamed Mwikongi : Hakika yametufika, A film director George Otieno Tyson naye hatunae tena duniani.
George Tyson aliwahi kuwa mume wa mwigizaji Monalisa na kuweza kuzaa naye mtoto mmoja.
Akiwa na Mboni Mwasimbi wa The Mboni Show |
Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi.
Viettel Tanzania holds a national Network Facilities (NF) license for fixed line and mobile networks, and is thought to be looking to roll out a third-generation mobile network based on UMTS/W-CDMA technology. We are telecommunication Company duly established under the laws of the United Republic of Tanzania whose headquarters is located at Plot 145, Regent
Estate, Migombani street, Mikocheni, P.O. Box 110230, Dar es Salaam, Tanzania.
For implementing business plan in 2014 and 2015 and our development strategy, we will hold a mass recruitment to all over the country with 617 talent and excellent candidates who are specialized in Telecommunication, Information Technology, Marketing, Business
Administration, Accountant sectors…as follow:
1. Positions and Job description: Detailed in the attached list. 2. Job requirement:
- Sex: Male/Female; Age: 22-35. - Level: At least Certificate.
- Major sectors: IT, Electronics and Telecommunications, Electro-mechanical, Construction, Accountant, Business Administration, Logistics, HR, Law, PR… (See in job descriptions).
- Requirement: Fluent English ability, proficiently in MS office.
- Enthusiastic, candid, faithful; Be ready to devote and work in a long -term period with the company; Experience is preferred.
3. Workplaces: All regions in Tanzania.
4. Benefits:
- Attractive salary, bonus, as company’ policies, full insurance as prescribed
- Selected candidates will have chances to work in competive, active and professional environment and promotion opportunities.
- Working and studying in many regions in the country and abroad opportunities for training.
5. How to apply:
- Candidates access to the following link for Application form: http://www.mediafire.com/?432nkfj9drbhlb6 http://rapidshare.com/share/4FB102ED12530A27A829C41050B1D3A6
(Note: in case of you can’t download this form, kindly send email to us, we will send email include attached form to you).
- Full fill the form and send to email: Viettelrecruitment@gmail.com
6. Deadline for applying: 31/05/2014.
7. Interview: From 01/05/2014 – 30/06/2014. Attention:
- After receiving your Application Form, we will evaluate all CV and start interviewing separately from 01/05/2014 to 30/06/2014.
- Candidates who apply first will be interviewed first. - Place of interview: as your registered place.
8. Contract: For any further information, please contact: - Mr. Frank - Head of Human Resources Department.
- Tel: (+255) 765667930/ (+255) 787020844; Email: Viettelrecruitment@gmail.com
Yours faithfully,
JOB DESCRIPTIONS
No | Position | Job description | Quantily | Workplace | ||
Level | ||||||
- Everyday, update all tax date, territorial tax, telecommunications tax, corporate income tax, | ||||||
personal income tax..summary all tax. | - In Dar Es Salaam: | |||||
- Write direction, translate document and send to department, branches in order to perform tax | ||||||
2 staff | ||||||
rules exactly. | Diploma or | |||||
1 | Tax accountant | 27 | - In other | |||
- Declare and Report monthly tax, summarize output and input tax. | higher | |||||
Provinces: 1 staff/1 | ||||||
- Make report about obligations for state taxes. | ||||||
Province | ||||||
- Help training staffs of departments following rules of Treasury. | ||||||
- In orther hand, doing some sudden management works | ||||||
- Everyday, based on document and advance request of center business, branch, according each | ||||||
program, expense statement of branches, inspect and approve on Finance software system. | - In Dar Es Salaam: | |||||
Business | - Send approved document to cash department or bank in order transfer money to the provinces. | 2 staff | Diploma or | |||
2 | management cost | - Check document of cost business according each program. | 27 | - In other | ||
higher | ||||||
accountant | - Compare advance liability | Provinces: 1 staff/1 | ||||
- Help training staffs of departments following rules of Treasury. | Province | |||||
- In orther hand, doing some sudden management works | ||||||
- Everyday, following report and advance requirement of departments, branches. | ||||||
- Inspect and approve on system, them send to Chief accountant and Director. | - In Dar Es Salaam: | |||||
Activity cost | - Give approved report to bank for payment. | 2 staff | Diploma or | |||
3 | - Inspect report of completed application of department and branches, compare advance liability | 27 | - In other | |||
accountant | higher | |||||
of staff. | Provinces: 1 staff/1 | |||||
- Help training staffs of departments following rules of Treasury. | Province | |||||
- In orther hand, doing some sudden management works | ||||||
- Everyday, based on approved command import/ export of Planning Department, set up import/ | ||||||
export bill and send to Chief accountant and Director. | ||||||
- Inspect the file of tax import, VAT of import, combine management asset department to | - In Dar Es Salaam: | |||||
Material, tool | determine construction cost for each code station and project. | 2 staff | Diploma or | |||
4 | - Analyze the situation increase or decrease the company’ s assets; calculate depreciation for | 27 | - In other | |||
accountant | higher | |||||
assets, research tax laws and tax policies. | Provinces: 1 staff/1 | |||||
- Enter data on Finance sofware system. | Province | |||||
- Help training staffs of departments following rules of Treasury. | ||||||
- In orther hand, doing some sudden management works. | ||||||
-Everyday, inspect, update detail contract following each type and payment schedule. | ||||||
- Synthesis payment and receive liability so that report to Chief Accountant and Director. | - In Dar Es Salaam: | |||||
Liability investment | - Analysis ages of debt of every contract. | 2 staff | Diploma or | |||
5 | - Inspect payment statement of departments. | 27 | - In other | |||
accountant | - Monitor the entering progress of contract. | Provinces: 1 staff/1 | higher | |||
- Make a statement to compare liability with partner. | Province | |||||
- Report remand payment to prepare source of money. | ||||||
- Everyday, inspect payment report by cash; make receive note, pay note following approved | - In Dar Es Salaam: | |||||
report. | ||||||
2 staff | ||||||
- Write payment in cash book and entry on ERP system. | Diploma or | |||||
6 | Cashier | 27 | - In other | |||
- Make a inspecting statement weekly, monthly, yearly. | higher | |||||
Provinces: 1 staff/1 | ||||||
- Make report about payment monthly, statement cash flow. | ||||||
Province | ||||||
- Save statement and do some another requested work. | ||||||
You
NAFASI ZA KAZI 617 KUTOKA VIETTEL TANZANIA
Viettel Tanzania holds a national Network Facilities (NF) license for fixed line and mobile networks, and is thought to be looking to roll out a third-generation mobile network based on UMTS/W-CDMA technology. We are telecommunication Company duly established under the laws of the United Republic of Tanzania whose headquarters is located at Plot 145, Regent
Estate, Migombani street, Mikocheni, P.O. Box 110230, Dar es Salaam, Tanzania.
For implementing business plan in 2014 and 2015 and our development strategy, we will hold a mass recruitment to all over the country with 617 talent and excellent candidates who are specialized in Telecommunication, Information Technology, Marketing, Business
Administration, Accountant sectors…as follow:
1. Positions and Job description: Detailed in the attached list. 2. Job requirement:
- Sex: Male/Female; Age: 22-35. - Level: At least Certificate.
- Major sectors: IT, Electronics and Telecommunications, Electro-mechanical, Construction, Accountant, Business Administration, Logistics, HR, Law, PR… (See in job descriptions).
- Requirement: Fluent English ability, proficiently in MS office.
- Enthusiastic, candid, faithful; Be ready to devote and work in a long -term period with the company; Experience is preferred.
3. Workplaces: All regions in Tanzania.
4. Benefits:
- Attractive salary, bonus, as company’ policies, full insurance as prescribed
- Selected candidates will have chances to work in competive, active and professional environment and promotion opportunities.
- Working and studying in many regions in the country and abroad opportunities for training.
5. How to apply:
- Candidates access to the following link for Application form: http://www.mediafire.com/?432nkfj9drbhlb6 http://rapidshare.com/share/4FB102ED12530A27A829C41050B1D3A6
(Note: in case of you can’t download this form, kindly send email to us, we will send email include attached form to you).
- Full fill the form and send to email: Viettelrecruitment@gmail.com
6. Deadline for applying: 31/05/2014.
7. Interview: From 01/05/2014 – 30/06/2014. Attention:
- After receiving your Application Form, we will evaluate all CV and start interviewing separately from 01/05/2014 to 30/06/2014.
- Candidates who apply first will be interviewed first. - Place of interview: as your registered place.
8. Contract: For any further information, please contact: - Mr. Frank - Head of Human Resources Department.
- Tel: (+255) 765667930/ (+255) 787020844; Email: Viettelrecruitment@gmail.com
Yours faithfully,
JOB DESCRIPTIONS
No | Position | Job description | Quantily | Workplace | ||
Level | ||||||
- Everyday, update all tax date, territorial tax, telecommunications tax, corporate income tax, | ||||||
personal income tax..summary all tax. | - In Dar Es Salaam: | |||||
- Write direction, translate document and send to department, branches in order to perform tax | ||||||
2 staff | ||||||
rules exactly. | Diploma or | |||||
1 | Tax accountant | 27 | - In other | |||
- Declare and Report monthly tax, summarize output and input tax. | higher | |||||
Provinces: 1 staff/1 | ||||||
- Make report about obligations for state taxes. | ||||||
Province | ||||||
- Help training staffs of departments following rules of Treasury. | ||||||
- In orther hand, doing some sudden management works | ||||||
- Everyday, based on document and advance request of center business, branch, according each | ||||||
program, expense statement of branches, inspect and approve on Finance software system. | - In Dar Es Salaam: | |||||
Business | - Send approved document to cash department or bank in order transfer money to the provinces. | 2 staff | Diploma or | |||
2 | management cost | - Check document of cost business according each program. | 27 | - In other | ||
higher | ||||||
accountant | - Compare advance liability | Provinces: 1 staff/1 | ||||
- Help training staffs of departments following rules of Treasury. | Province | |||||
- In orther hand, doing some sudden management works | ||||||
- Everyday, following report and advance requirement of departments, branches. | ||||||
- Inspect and approve on system, them send to Chief accountant and Director. | - In Dar Es Salaam: | |||||
Activity cost | - Give approved report to bank for payment. | 2 staff | Diploma or | |||
3 | - Inspect report of completed application of department and branches, compare advance liability | 27 | - In other | |||
accountant | higher | |||||
of staff. | Provinces: 1 staff/1 | |||||
- Help training staffs of departments following rules of Treasury. | Province | |||||
- In orther hand, doing some sudden management works | ||||||
- Everyday, based on approved command import/ export of Planning Department, set up import/ | ||||||
export bill and send to Chief accountant and Director. | ||||||
- Inspect the file of tax import, VAT of import, combine management asset department to | - In Dar Es Salaam: | |||||
Material, tool | determine construction cost for each code station and project. | 2 staff | Diploma or | |||
4 | - Analyze the situation increase or decrease the company’ s assets; calculate depreciation for | 27 | - In other | |||
accountant | higher | |||||
assets, research tax laws and tax policies. | Provinces: 1 staff/1 | |||||
- Enter data on Finance sofware system. | Province | |||||
- Help training staffs of departments following rules of Treasury. | ||||||
- In orther hand, doing some sudden management works. | ||||||
-Everyday, inspect, update detail contract following each type and payment schedule. | ||||||
- Synthesis payment and receive liability so that report to Chief Accountant and Director. | - In Dar Es Salaam: | |||||
Liability investment | - Analysis ages of debt of every contract. | 2 staff | Diploma or | |||
5 | - Inspect payment statement of departments. | 27 | - In other | |||
accountant | - Monitor the entering progress of contract. | Provinces: 1 staff/1 | higher | |||
- Make a statement to compare liability with partner. | Province | |||||
- Report remand payment to prepare source of money. | ||||||
- Everyday, inspect payment report by cash; make receive note, pay note following approved | - In Dar Es Salaam: | |||||
report. | ||||||
2 staff | ||||||
- Write payment in cash book and entry on ERP system. | Diploma or | |||||
6 | Cashier | 27 | - In other | |||
- Make a inspecting statement weekly, monthly, yearly. | higher | |||||
Provinces: 1 staff/1 | ||||||
- Make report about payment monthly, statement cash flow. | ||||||
Province | ||||||
- Save statement and do some another requested work. | ||||||
You
Subscribe to:
Posts (Atom)
Like, share and send to friends
KARIBU
Popular Posts
-
KUWENI NA SUBIRA WADAU WETU TCU WAMEIONDOA ILE SELECTION STATUS FUATA HATUA HIZI ILI KUWEZA KUONA CHUO ULICHOCHAGULIWA Ingia kwenye website...
-
KUPATA MATOKEO YA DARASA LA SABA MWAKA 2015 BOFYA HAPA... (2015 RESULTS CLICK HERE) NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2013 E...
-
CHUO CHA UHASIBU ARUSHA CHATANGAZA MAJINA YA WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA CHUO HICHO KATIKA FANI MBALIMBALI KWA MWAKA WA MASOMO 2012/2013 The...
-
Kupata matokeo ya kidato cha nne 2013 BOFYA HAPA Kupata matokeo ya QT 2013 BOFYA HAPA MATOKEO CSEE 2013 ...
-
S4567 SACRED HEART S4568 ROYAL S4569 ST MARIE EUGENIE S4570 MAGUNGU S4571 KIJUNGU S4572 IPWAGA S4573 UWANJA WA TAIFA S4574 ITONA S4575 MESSA...
-
MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2015 BOFYA HAPA Kupata matokeo hayo bofya hapo chini MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2013 (NATIONAL FORM FOUR RESUL...
-
WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI ORODHA YA WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA MAFUNZO YA UALIMU NGAZI YA CHETI MWAKA WA MASOMO 2012/2013 MAELEK...
-
Bofya hapa kuangalia matokeo ya darasa la saba Waweza pia kuchagua mkoa unaotaka kwa kubofya kwenye mkoa husika ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA ...
-
Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa, anawatangazia vijana wenye sifa za kujiunga na mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa kwa kujitolea kwa mwaka 2...
-
The following candidates have been selected to join LGTI for the academic year 2013/2014 which starts on Saturday, the 24th of ...