What's New Here?

    Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA) limetangaza matokeo ya kidato cha nne mwaka 2016 ambapo umefaulu wa jumla umeongezeka kwa 2.56% kutoka 67.53% mwaka 2015 hadi 70.09% mwaka 2016.

    Katibu Mtendaji wa barza hilo, Dkt Charles Msonde amesema kati ya wanafunzi 408,372 waliofanya mtihani, jumla ya wanafunzi 277,283 wamefaulu, wakiwemo wasichana 135,859 sawa na asilimia 67.06 na wavulana 141,424 sawa na asilimia 73.26.

    Kwa upande wa watahiniwa wa shule, Dkt Msonde amesema kuwa 244,762 sawa na asilimia 70.35 ya waliofanya matihani wamefaulu ikilinganishwa na wanafunzi 240,996 sawa na asilimia 67.91 waliofaulu mwaka 2015.

    Kwa upande wa ubora wa ufaulu, amesema watahiniwa wa shule wenye ufaulu mzuri wa Daraja la kwanza hadi la tatu ni 96,018 sawa na asilimia 27.60

    Mtokeo ya Kidato cha Nne 2016 (2016 CSEE RESULTS) - Link inayofunguka haraka zaidi

    Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA) limetangaza matokeo ya kidato cha nne mwaka 2016 ambapo umefaulu wa jumla umeongezeka kwa 2.56% kutoka 67.53% mwaka 2015 hadi 70.09% mwaka 2016.

    Katibu Mtendaji wa barza hilo, Dkt Charles Msonde amesema kati ya wanafunzi 408,372 waliofanya mtihani, jumla ya wanafunzi 277,283 wamefaulu, wakiwemo wasichana 135,859 sawa na asilimia 67.06 na wavulana 141,424 sawa na asilimia 73.26.

    Kwa upande wa watahiniwa wa shule, Dkt Msonde amesema kuwa 244,762 sawa na asilimia 70.35 ya waliofanya matihani wamefaulu ikilinganishwa na wanafunzi 240,996 sawa na asilimia 67.91 waliofaulu mwaka 2015.

    Kwa upande wa ubora wa ufaulu, amesema watahiniwa wa shule wenye ufaulu mzuri wa Daraja la kwanza hadi la tatu ni 96,018 sawa na asilimia 27.60

    Freelance writer. @MacMcCannTXMacMcCannTX.com.

    Video via USA Today

    On Tuesday night, Donald Trump was elected the President of the United States of America. Hillary Clinton didn't speak publicly about her loss following the election, but Trump said in his victory speech that she called him and accepted defeat. President Obama has also reportedly called both Trump and Clinton about the results of the election. And on Wednesday, Clinton spoke to her staff and supporters at a hotel in New York City. You can watch her speech, which was gracious and optimistic, in the video above.

    At around 11:30 a.m., an hour later than planned, vice presidential nominee Tim Kaine—who had previously never lost an election—began speaking. He congratulated his running mate for her campaign, and noted that she actually won the popular vote. "I'm proud of Hillary because she loves this country," Kaine said. He quoted William Faulkner, "They kilt us but they ain't whipped us yet," before introducing Clinton.

    With her family behind her, Clinton started off by thanking the crowd, who gave her an extended round of applause. She said she called Trump the night before to congratulate him and offer to work with him. She apologized to her supporters, and said that being their candidate was "one of the greatest honors of my life." 

    "This is painful, and it will be for a long time," Clinton said. "But I want you to remember this: our campaign has never been about one person or even one election. It was about the country we love, and about building an America that's hopeful, inclusive, and big-hearted."

    "We have seen that our nation is more deeply divided than we thought," Clinton said. "But I still believe in America, and I always will."

    She urged her supporters, "We must accept this result and then look to the future." She said of Trump, "We owe him an open mind and a chance to lead." She added, "I hope that he will be a successful president for all Americans." Still, she emphasized the rule of law and equality for all, regardless of race or religion: "We believe that the American Dream is big enough for everyone."

    She told the girls who looked up to her, "Never doubt that you are valuable and powerful and deserving of every chance and opportunity in the world."

    "This loss hurts," Clinton said, "But please, never stop believing that fighting for what's right is worth it." Wearing purple, which is often used by Christians to express mourning, she quoted Galatians 6:9 from the Bible: "Let us not be weary in well doing, for in due season we shall reap." The speech was profoundly optimistic, despite the circumstances. "Now, our responsibility as citizens is to keep doing our part to build that better, stronger, fairer America."

    Her speech concluded shortly before noon.

    Clinton's loss was a huge disappointment for Democrats. Clinton was projected to win leading up to Election Day. But Trump not only won key battleground states like Florida, North Carolina, and Ohio, he also broke the "blue wall" of upper Midwest states that had supported every Democratic presidential candidate since Bill Clinton won in 1992. 

    Donald Trump has bragged about sexual assault and has been accused of sexual assaulting multiple women. But,according to CNN, more white women actually voted for Trump than Clinton, who had hoped to become the first woman elected president. 

    In his victory speech, Trump, who has a history of divisiveness, told the country, "I pledge that I will be president for all Americans." He heaped praise upon his surrogates and promised to double economic growth.

    The AP reports Trump campaign manager Kellyanne Conway urged Trump's critics to "lay down their verbal firearms" this morning. "Give him a chance as your president-elect like we all did with President Obama and we all did with President Bill Clinton," Conway said of Trump, who long questioned President Obama's citizenship

    President Barack Obama will stay in office until Jan. 20, 2017, when the new president-elect will be inaugurated. 

    Speech ya Hilary Clinton baada ya kushindwa uchaguzi dhidi ya Donald Trump

    Freelance writer. @MacMcCannTXMacMcCannTX.com.

    Video via USA Today

    On Tuesday night, Donald Trump was elected the President of the United States of America. Hillary Clinton didn't speak publicly about her loss following the election, but Trump said in his victory speech that she called him and accepted defeat. President Obama has also reportedly called both Trump and Clinton about the results of the election. And on Wednesday, Clinton spoke to her staff and supporters at a hotel in New York City. You can watch her speech, which was gracious and optimistic, in the video above.

    At around 11:30 a.m., an hour later than planned, vice presidential nominee Tim Kaine—who had previously never lost an election—began speaking. He congratulated his running mate for her campaign, and noted that she actually won the popular vote. "I'm proud of Hillary because she loves this country," Kaine said. He quoted William Faulkner, "They kilt us but they ain't whipped us yet," before introducing Clinton.

    With her family behind her, Clinton started off by thanking the crowd, who gave her an extended round of applause. She said she called Trump the night before to congratulate him and offer to work with him. She apologized to her supporters, and said that being their candidate was "one of the greatest honors of my life." 

    "This is painful, and it will be for a long time," Clinton said. "But I want you to remember this: our campaign has never been about one person or even one election. It was about the country we love, and about building an America that's hopeful, inclusive, and big-hearted."

    "We have seen that our nation is more deeply divided than we thought," Clinton said. "But I still believe in America, and I always will."

    She urged her supporters, "We must accept this result and then look to the future." She said of Trump, "We owe him an open mind and a chance to lead." She added, "I hope that he will be a successful president for all Americans." Still, she emphasized the rule of law and equality for all, regardless of race or religion: "We believe that the American Dream is big enough for everyone."

    She told the girls who looked up to her, "Never doubt that you are valuable and powerful and deserving of every chance and opportunity in the world."

    "This loss hurts," Clinton said, "But please, never stop believing that fighting for what's right is worth it." Wearing purple, which is often used by Christians to express mourning, she quoted Galatians 6:9 from the Bible: "Let us not be weary in well doing, for in due season we shall reap." The speech was profoundly optimistic, despite the circumstances. "Now, our responsibility as citizens is to keep doing our part to build that better, stronger, fairer America."

    Her speech concluded shortly before noon.

    Clinton's loss was a huge disappointment for Democrats. Clinton was projected to win leading up to Election Day. But Trump not only won key battleground states like Florida, North Carolina, and Ohio, he also broke the "blue wall" of upper Midwest states that had supported every Democratic presidential candidate since Bill Clinton won in 1992. 

    Donald Trump has bragged about sexual assault and has been accused of sexual assaulting multiple women. But,according to CNN, more white women actually voted for Trump than Clinton, who had hoped to become the first woman elected president. 

    In his victory speech, Trump, who has a history of divisiveness, told the country, "I pledge that I will be president for all Americans." He heaped praise upon his surrogates and promised to double economic growth.

    The AP reports Trump campaign manager Kellyanne Conway urged Trump's critics to "lay down their verbal firearms" this morning. "Give him a chance as your president-elect like we all did with President Obama and we all did with President Bill Clinton," Conway said of Trump, who long questioned President Obama's citizenship

    President Barack Obama will stay in office until Jan. 20, 2017, when the new president-elect will be inaugurated. 

    Donald Trump

    Page issues

    For other uses, see Donald Trump (disambiguation).

    Donald TrumpPresident of the United States
    ElectTaking office
    January 20, 2017Vice PresidentMike Pence (elect)SucceedingBarack ObamaPersonal detailsBornJune 14, 1946 (age 70)
    New York CityNew York, U.S.Political party

    Republican (1987–1999, 2009–2011, 2012–present)
    Democratic (before 1987, 2001–2009)
    Reform (1999–2001)
    Independent (2011–2012)[1][2]

    Spouse(s)

    Ivana Zelníčková (m. 1977;div. 1991)Marla Maples (m. 1993; div. 1999)Melania Knauss (m. 2005)

    Children

    DonIvankaEricTiffanyBarron

    Signature

    Donald John Trump (born June 14, 1946) is an American businessman, television producer, and the President-elect of the United States, scheduled to take office as the45th[3] president under the 20th amendmenton January 20, 2017; he holds the distinction as the oldest man ever elected to his first term as President, surpassing Ronald Reagan.

    As the Republican Party's nominee forpresident in the 2016 election, he defeatedHillary Clinton in the general election on November 8, 2016. He is the chairman and president of The Trump Organization, which is the principal holding company for his real estate ventures and other business interests, a position he is set to vacate prior to his assumption of the presidency. During his career, Trump has built office towers, hotels, casinos, golf courses, and other branded facilities worldwide.

    Trump was born and raised in New York Cityand received a bachelor's degree in economics from the Wharton School of theUniversity of Pennsylvania in 1968. In 1971 he was given control of his father Fred Trump's real estate and construction firm and later renamed it The Trump Organization, rising to public prominence shortly thereafter. Trump has appeared at the Miss USA pageants, which he owned from 1996 to 2015, and has made cameo appearances in films and television series. He sought the Reform Partypresidential nomination in 2000, but withdrew before voting began. He hosted and co-produced The Apprentice, a reality television series on NBC, from 2004 to 2015. As of 2016, he was listed by Forbes as the 324th wealthiest person in the world, and 156th in the United States.

    In June 2015, Trump announced his candidacy for president as a Republican and quickly emerged as the front-runner for his party's nomination. In May 2016, his remaining Republican rivals suspended their campaigns, and in July he was formally nominated for president at the 2016 Republican National Convention. Trump's campaign has received unprecedented media coverage and international attention. Many of his statements in interviews, on Twitter, and at campaign rallies have been controversial or false. Several rallies during the primaries were accompanied by protests or riots. On October 7, a 2005 audio recording surfaced in which Trump bragged about forcibly kissing andgroping women; multiple women accused him of similar conduct shortly thereafter.[4][5] He apologized for the 2005 comments and denied the allegations, describing them as part of a wider smear campaign.

    Trump's platform included renegotiation ofU.S.–China trade deals, opposition to particular trade agreements such as NAFTAand the Trans-Pacific Partnership, stronger enforcement of immigration laws together with building a wall along the U.S.–Mexico border, reform of veterans' care, repeal and replacement of the Affordable Care Act, and tax cuts. Following the November 2015 Paris attacks, Trump called for a temporary ban on Muslim immigration to the United States, later stating that the ban would focus instead on countries with a proven history of terrorism, until the screening for potential terrorists is improved.

    Early life, ancestry, education and military status

    Business career

    Entertainment and media

    Politics

    Personal life

    Appearances in popular culture

    Legal matters

    Awards and accolades

    See also

    Notes

    References

    Historia ya Donald Trump raisi wa aliyechaguliwa kuingoza marekani

    Donald Trump

    Page issues

    For other uses, see Donald Trump (disambiguation).

    Donald TrumpPresident of the United States
    ElectTaking office
    January 20, 2017Vice PresidentMike Pence (elect)SucceedingBarack ObamaPersonal detailsBornJune 14, 1946 (age 70)
    New York CityNew York, U.S.Political party

    Republican (1987–1999, 2009–2011, 2012–present)
    Democratic (before 1987, 2001–2009)
    Reform (1999–2001)
    Independent (2011–2012)[1][2]

    Spouse(s)

    Ivana Zelníčková (m. 1977;div. 1991)Marla Maples (m. 1993; div. 1999)Melania Knauss (m. 2005)

    Children

    DonIvankaEricTiffanyBarron

    Signature

    Donald John Trump (born June 14, 1946) is an American businessman, television producer, and the President-elect of the United States, scheduled to take office as the45th[3] president under the 20th amendmenton January 20, 2017; he holds the distinction as the oldest man ever elected to his first term as President, surpassing Ronald Reagan.

    As the Republican Party's nominee forpresident in the 2016 election, he defeatedHillary Clinton in the general election on November 8, 2016. He is the chairman and president of The Trump Organization, which is the principal holding company for his real estate ventures and other business interests, a position he is set to vacate prior to his assumption of the presidency. During his career, Trump has built office towers, hotels, casinos, golf courses, and other branded facilities worldwide.

    Trump was born and raised in New York Cityand received a bachelor's degree in economics from the Wharton School of theUniversity of Pennsylvania in 1968. In 1971 he was given control of his father Fred Trump's real estate and construction firm and later renamed it The Trump Organization, rising to public prominence shortly thereafter. Trump has appeared at the Miss USA pageants, which he owned from 1996 to 2015, and has made cameo appearances in films and television series. He sought the Reform Partypresidential nomination in 2000, but withdrew before voting began. He hosted and co-produced The Apprentice, a reality television series on NBC, from 2004 to 2015. As of 2016, he was listed by Forbes as the 324th wealthiest person in the world, and 156th in the United States.

    In June 2015, Trump announced his candidacy for president as a Republican and quickly emerged as the front-runner for his party's nomination. In May 2016, his remaining Republican rivals suspended their campaigns, and in July he was formally nominated for president at the 2016 Republican National Convention. Trump's campaign has received unprecedented media coverage and international attention. Many of his statements in interviews, on Twitter, and at campaign rallies have been controversial or false. Several rallies during the primaries were accompanied by protests or riots. On October 7, a 2005 audio recording surfaced in which Trump bragged about forcibly kissing andgroping women; multiple women accused him of similar conduct shortly thereafter.[4][5] He apologized for the 2005 comments and denied the allegations, describing them as part of a wider smear campaign.

    Trump's platform included renegotiation ofU.S.–China trade deals, opposition to particular trade agreements such as NAFTAand the Trans-Pacific Partnership, stronger enforcement of immigration laws together with building a wall along the U.S.–Mexico border, reform of veterans' care, repeal and replacement of the Affordable Care Act, and tax cuts. Following the November 2015 Paris attacks, Trump called for a temporary ban on Muslim immigration to the United States, later stating that the ban would focus instead on countries with a proven history of terrorism, until the screening for potential terrorists is improved.

    Early life, ancestry, education and military status

    Business career

    Entertainment and media

    Politics

    Personal life

    Appearances in popular culture

    Legal matters

    Awards and accolades

    See also

    Notes

    References

    It is our pleasure to welcome you to Bosandra Professionals Company Ltd. Bosandra Professionals was incorporated under the Companies Act 2002) on the 30th Day of December 2007.
    Bosandra Professionals is your solution to a diversified services, such as;-
    1. Air Ticketing for Fastjet, Air Tanzania and Auric Air 
    2. Insurance services (agent for Niko Insurance (Tanzania)Ltd 
    3. Importing and Tailoring School/office uniforms (sweaters, shorts, trousers, skirts, shirts etc) and all kind of clothing. 
    4. Fahari huduma agent for CRDB bank, football tickets and alike 
    5. Maxmalipo services agent for TRA specific for road license services and General supplies 
    6. Mobile money transactions like M-PESA, TIGO PESA and AIRTEL MONEY

    With Bosandra, you will get innovative, quality, instantly products and services that give you peace of mind. At Bosandra, you will be handled by experienced professionals who will help you meet the challenges of the future. Working with Bosandra can give you a huge competitive advantage.

    To provide excellence and to succeed through satisfied customers and clients is to meet our highest goal.





    Karibu Bosandra Professionals kwa huduma za insurance, fahari huduma, tiketi za ndege Fastjet, Air Tanzania na Auric Air

    It is our pleasure to welcome you to Bosandra Professionals Company Ltd. Bosandra Professionals was incorporated under the Companies Act 2002) on the 30th Day of December 2007.
    Bosandra Professionals is your solution to a diversified services, such as;-
    1. Air Ticketing for Fastjet, Air Tanzania and Auric Air 
    2. Insurance services (agent for Niko Insurance (Tanzania)Ltd 
    3. Importing and Tailoring School/office uniforms (sweaters, shorts, trousers, skirts, shirts etc) and all kind of clothing. 
    4. Fahari huduma agent for CRDB bank, football tickets and alike 
    5. Maxmalipo services agent for TRA specific for road license services and General supplies 
    6. Mobile money transactions like M-PESA, TIGO PESA and AIRTEL MONEY

    With Bosandra, you will get innovative, quality, instantly products and services that give you peace of mind. At Bosandra, you will be handled by experienced professionals who will help you meet the challenges of the future. Working with Bosandra can give you a huge competitive advantage.

    To provide excellence and to succeed through satisfied customers and clients is to meet our highest goal.





    Bonyeza hapo chini ili kuona matokeo ya darasa la saba. (PALIPOANDIKWA MATOKEO HAYA HAPA)

    MATOKEO YA DARASA SABA 2016/2017 HAYA HAPA

    Bonyeza hapo chini ili kuona matokeo ya darasa la saba. (PALIPOANDIKWA MATOKEO HAYA HAPA)

    Waliochaguliwa Chuo Kikuu Dodoma 2016/2017 na online admission letters (Selected candidates UDOM 2016/2017)

    Waliochaguliwa kujiunga Chuo Kikuu Mzumbe 2016/2017 (Selected candidates to join Mzumbe University academic year 2016/2017)

    Waliochaguliwa kujiunga shahada ya kwanza na pili Chuo Kikuu Dar es salaam (Selected candidates undergraduate & masters UDSM - 2016/2017)

    BAADA ya uamuzi wa kuwafukuza vyuo walimu wanne waliokuwa kwenye mafunzo ya vitendo katika Shule ya Sekondari ya Kutwa ya Mbeya (Mbeya Day), serikali imesema vyuo husika vinaweza kushauri adhabu mbadala iwapo vitajiridhisha kuwepo kwa mazingira tofauti na yaliyozingatiwa kwenye uamuzi wa kuwafukuza vyuo.
    Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Mafunzo ya Ufundi, Profesa Joyce Ndalichako alisema hayo juzi alipozungumza na waandishi wa habari mkoani Mbeya alikokuwa katika ziara kwenye shule mbalimbali mkoani humo.
    Profesa Ndalichako alisema uamuzi uliochukuliwa na ofisi yake ulizingatia sheria ndogo zilizotungwa katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (Udsm) zinazoainisha makosa yanayoweza kumfukuzisha chuo mwanafunzi.
    Hata hivyo, alisema uamuzi uliochukuliwa unaweza kutazamwa upya na vyuo husika iwapo uzito uliochukuliwa na wizara utaonekana kuwa katika mazingira na uhalisia wa tukio husika.

    Walimu wa Mbeya Day wapewa nafuu ya adhabu yao, vyuo vyaachiwa madai yao

    BAADA ya uamuzi wa kuwafukuza vyuo walimu wanne waliokuwa kwenye mafunzo ya vitendo katika Shule ya Sekondari ya Kutwa ya Mbeya (Mbeya Day), serikali imesema vyuo husika vinaweza kushauri adhabu mbadala iwapo vitajiridhisha kuwepo kwa mazingira tofauti na yaliyozingatiwa kwenye uamuzi wa kuwafukuza vyuo.
    Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Mafunzo ya Ufundi, Profesa Joyce Ndalichako alisema hayo juzi alipozungumza na waandishi wa habari mkoani Mbeya alikokuwa katika ziara kwenye shule mbalimbali mkoani humo.
    Profesa Ndalichako alisema uamuzi uliochukuliwa na ofisi yake ulizingatia sheria ndogo zilizotungwa katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (Udsm) zinazoainisha makosa yanayoweza kumfukuzisha chuo mwanafunzi.
    Hata hivyo, alisema uamuzi uliochukuliwa unaweza kutazamwa upya na vyuo husika iwapo uzito uliochukuliwa na wizara utaonekana kuwa katika mazingira na uhalisia wa tukio husika.

    Roma - Ivan (New Song)



    Nyota wa zamani wa Liverpool na Cameroon Rigobert Song hatimaye amezinduka baada ya kuzimia kwa siku mbili mfululizo. Daktari wa Hospital ya mjini Yaounde amesema kuwa mlinzi huyo atasafiri kuelekea Ufaransa kuendelea na matibabu zaidi. Song mwenye miaka 40 aliripotiwa kuzimia akiwa nyumbani kwake siku ya jumapili.
     
    BBC wameripoti kuwa daktari mkuu wa Yaounde Hospital Central Emergency Centre Louis Joss Bitang A Mafok amesema Song ameondolewa kifaa maalum cha kupumualia na tayari anapumua kawaida. Song anashikilia rekodi ya kucheza michezo 137 kwenye timu yake ya taifa pamoja na kucheza fainali nne za kombe la dunia huku AFCON akiwa amecheza fainali nane.


    Nyota wa zamani wa Liverpool na Cameroon Rigobert Song hatimaye azinduka



    Nyota wa zamani wa Liverpool na Cameroon Rigobert Song hatimaye amezinduka baada ya kuzimia kwa siku mbili mfululizo. Daktari wa Hospital ya mjini Yaounde amesema kuwa mlinzi huyo atasafiri kuelekea Ufaransa kuendelea na matibabu zaidi. Song mwenye miaka 40 aliripotiwa kuzimia akiwa nyumbani kwake siku ya jumapili.
     
    BBC wameripoti kuwa daktari mkuu wa Yaounde Hospital Central Emergency Centre Louis Joss Bitang A Mafok amesema Song ameondolewa kifaa maalum cha kupumualia na tayari anapumua kawaida. Song anashikilia rekodi ya kucheza michezo 137 kwenye timu yake ya taifa pamoja na kucheza fainali nne za kombe la dunia huku AFCON akiwa amecheza fainali nane.


    Image result for women shocked at husband cheating
    Kuna mdada nilimkopesha pesa kwa ahadi kuwa baada ya wiki moja atanirejeshea pesa zangu.
    Baada ya wiki moja nampigia simu hapokei simu zangu, nimempigia zaidi ya mara kumi (10) bila ya mafanikio!
    Kila nikimpigia simu hajibu simu zangu, nikahamua kumwandikia message kwa WhatsApp...!
    _Hello Mamu, Nakupigia simu sio kukudai pesa zangu, ila nataka kukwambia kuwa hapa Ubungo Plaza kuna wadada wawili walikuwa wanapigana kumgombea Mumeo (Baba Nang'oto). Ilikuwa vuta nikuvute na mumeo alikuwa kasimama tu anawaangalia akitabasamu. Baada ugomvi kwisha akaondoka na mmoja wao na kumwacha yule mwingine akitukana matusi kama ana akili nzuri._
    --
    _*Kisha nikaituma ile message*_
    Baada ya dakika kama mbili hivi, akanipigia simu nami wala sikupokea simu yake... Akapiga tena na tena kama mara ishirini hivi wala sikupokea.
    *Akatuma message akiniuliza...*
    _Hao wanawake unawajuwa, ...mume wangu na huyo mwanamke wameelekea wapi, wewe unawajuwa hao wanawake waliopigana, yaani hapa nimechanganyikiwa kwa kweli...!_
    Nikaisoma message yake wala sikuijibu, nikamchunia kimyaaa...!
    Akanipigia tena simu mara tano, sikupokea simu zake, kimyaaa...! Akaniandikia message nyingine....
    *...Nakupigia jamani pokea simu basi nina pesa zako nataka nikupe... Naomba basi tukutane mjini unihadithie vizuri...!*
    Nami nikamjibu...
    _Nitumie hizo pesa kwenye Namba yangu ya Mpesa, ili nipitie sheli kujaza mafuta nije mjini kukupitia nikupeleke mahala walipo...!_
    Baada ya dakika 2 message ikaingia, kuangalia balance yangu ya Mpesa, nikakuta kaingiza pesa zangu zote ninazo mdai...!
    Nikazima simu nikajilalia zangu kimyaaa.... Kama sio mie!

    Ukitaka kuwa mbaya dai chako. Mjini shule!

    Image result for women shocked at husband cheating
    Kuna mdada nilimkopesha pesa kwa ahadi kuwa baada ya wiki moja atanirejeshea pesa zangu.
    Baada ya wiki moja nampigia simu hapokei simu zangu, nimempigia zaidi ya mara kumi (10) bila ya mafanikio!
    Kila nikimpigia simu hajibu simu zangu, nikahamua kumwandikia message kwa WhatsApp...!
    _Hello Mamu, Nakupigia simu sio kukudai pesa zangu, ila nataka kukwambia kuwa hapa Ubungo Plaza kuna wadada wawili walikuwa wanapigana kumgombea Mumeo (Baba Nang'oto). Ilikuwa vuta nikuvute na mumeo alikuwa kasimama tu anawaangalia akitabasamu. Baada ugomvi kwisha akaondoka na mmoja wao na kumwacha yule mwingine akitukana matusi kama ana akili nzuri._
    --
    _*Kisha nikaituma ile message*_
    Baada ya dakika kama mbili hivi, akanipigia simu nami wala sikupokea simu yake... Akapiga tena na tena kama mara ishirini hivi wala sikupokea.
    *Akatuma message akiniuliza...*
    _Hao wanawake unawajuwa, ...mume wangu na huyo mwanamke wameelekea wapi, wewe unawajuwa hao wanawake waliopigana, yaani hapa nimechanganyikiwa kwa kweli...!_
    Nikaisoma message yake wala sikuijibu, nikamchunia kimyaaa...!
    Akanipigia tena simu mara tano, sikupokea simu zake, kimyaaa...! Akaniandikia message nyingine....
    *...Nakupigia jamani pokea simu basi nina pesa zako nataka nikupe... Naomba basi tukutane mjini unihadithie vizuri...!*
    Nami nikamjibu...
    _Nitumie hizo pesa kwenye Namba yangu ya Mpesa, ili nipitie sheli kujaza mafuta nije mjini kukupitia nikupeleke mahala walipo...!_
    Baada ya dakika 2 message ikaingia, kuangalia balance yangu ya Mpesa, nikakuta kaingiza pesa zangu zote ninazo mdai...!
    Nikazima simu nikajilalia zangu kimyaaa.... Kama sio mie!
     uongozi wa kituo cha NICOPOLIC ACADEMY ukiwa na watoto wa kituo hicho wakitoa msaada wa watoto wenzao ambao ni wagonjwa katika hospitari ya wilaya ya Ludewa





     Kaimu mganga mkuu wa hospitari ya wilaya ya Ludewa Dkt.Frank Mwambasanga




    Wodi ya watoto katika hospitari ya wilaya ya Ludewa 






    Kituo cha watoto yatima na waishio katika mazingira hatarishi wilayani Ludewa katika mkoa wa Njombe kimetoa misaada mbalimbali kwa watoto wenzao ambao ni wagonjwa na wamelazwa katika wodi ya watoto hospitari ya wilaya ya Ludewa.

    Akitoa msaada wa Sabuni na vitu vingine jana  kwa watoto waliolazwa katika hospitali hiyo Mkurugenzi wa NICO POLIC ACADEMY Bw. Augustino Mwinuka alisema kuwa lengo la kwenda na watoto wa kituo hicho ili kuwajulia hali watoto wagonjwa waliolazwa katika hospitari ya wilaya ya Ludewa ni kuwafundisha watoto wa NICO POLIS ACADEMY kuwa na matendo ya huruma.

    Bw. Mwinuka alisema kuwa watoto wanaoishi katika mazingira hatarishi wanatakiwa kujifunza upendo kwa kuonesha watoto wengine hivyo ni utaratibu wa kituo hicho kuwatembeza watoto hao katika kuisaidia jamii nyingine yenye shida zaidi ya watoto wanaotoka NICOPOLIS ACADEMY.

    Alisema kuwa kituo hicho kinachukua watoto wa aina mbalimbali ambao ni watoto wenye ulemavu wangozi,watoto yatima na wanaoishi mazingira hatarishi pia baadhi ya wazazi huwaleta watoto wao ili waweze kupata elimu kwa kuchangia gharama nafuu.

    “Tumewaleta watoto hawa kuwaona watoto wenzao ambao ni wagonjwa na kuwapatia vitu vichache ili kuwafundisha watoto tulionao katika kituo chetu waweze kuwa na moyo wa huruma na kuwajali wengine kwani watoto wengine tulio nao wameharibiwa kisaikolojia kutokana na maisha waliokuwa wakiishi kabla ya kuja kuishi katika kituo chetu hivyo inaweza kusaidia kuwaweka sawa katika jamii”,alisema Bw.Mwinuka.

    Akitoa shukrani zake kwa uongozi wa kituo cha NICO POLIC ACADEMY kaimu mganga mkuu wa Hospitari ya wilaya ya Ludewa Daktari. Frank Mwambasanga alisema kuwa kituo hicho ni mfano wakuigwa kwani wameonesha kuwa wapo kwaajili ya jamii na si vinginevyo.

    Dkt.Mwambasanga alisema kuwa kituo hicho kimetoa faraja kwa watoto hao ambao ni wagonjwa richa ya kuwa wamekuja kuwafundisha watoto wanaoishi kituoni hapo kushiriki katika shughuri za kijamii lakini kwa misaada yao na zawadi walizowabebea watoto wenzao nifaraja kubwa kwa wauguzi wao na wagonjwa kwa ujumla.

    Aidha Dkt. Mwambasanga aliwataka wadau na viongozi wa shule mbalimbali wilayani hapa kuiga mfano wa kituo hicho ambacho kinatambua umuhimu wa kuwatembelea wagonjwa kwani kwa kufanya hivyo wagonjwa watafarijika kutokana na hali halisi kuwa shule za wilaya ya Ludewa hazina utamaduni wa kuwatembelea wagonjwa.


    Mwisho.

    Kituo cha watoto waishio katika mazingira hatarishi cha Nico Polic Academy chawatembelea wagonjwa.

     uongozi wa kituo cha NICOPOLIC ACADEMY ukiwa na watoto wa kituo hicho wakitoa msaada wa watoto wenzao ambao ni wagonjwa katika hospitari ya wilaya ya Ludewa





     Kaimu mganga mkuu wa hospitari ya wilaya ya Ludewa Dkt.Frank Mwambasanga




    Wodi ya watoto katika hospitari ya wilaya ya Ludewa 






    Kituo cha watoto yatima na waishio katika mazingira hatarishi wilayani Ludewa katika mkoa wa Njombe kimetoa misaada mbalimbali kwa watoto wenzao ambao ni wagonjwa na wamelazwa katika wodi ya watoto hospitari ya wilaya ya Ludewa.

    Akitoa msaada wa Sabuni na vitu vingine jana  kwa watoto waliolazwa katika hospitali hiyo Mkurugenzi wa NICO POLIC ACADEMY Bw. Augustino Mwinuka alisema kuwa lengo la kwenda na watoto wa kituo hicho ili kuwajulia hali watoto wagonjwa waliolazwa katika hospitari ya wilaya ya Ludewa ni kuwafundisha watoto wa NICO POLIS ACADEMY kuwa na matendo ya huruma.

    Bw. Mwinuka alisema kuwa watoto wanaoishi katika mazingira hatarishi wanatakiwa kujifunza upendo kwa kuonesha watoto wengine hivyo ni utaratibu wa kituo hicho kuwatembeza watoto hao katika kuisaidia jamii nyingine yenye shida zaidi ya watoto wanaotoka NICOPOLIS ACADEMY.

    Alisema kuwa kituo hicho kinachukua watoto wa aina mbalimbali ambao ni watoto wenye ulemavu wangozi,watoto yatima na wanaoishi mazingira hatarishi pia baadhi ya wazazi huwaleta watoto wao ili waweze kupata elimu kwa kuchangia gharama nafuu.

    “Tumewaleta watoto hawa kuwaona watoto wenzao ambao ni wagonjwa na kuwapatia vitu vichache ili kuwafundisha watoto tulionao katika kituo chetu waweze kuwa na moyo wa huruma na kuwajali wengine kwani watoto wengine tulio nao wameharibiwa kisaikolojia kutokana na maisha waliokuwa wakiishi kabla ya kuja kuishi katika kituo chetu hivyo inaweza kusaidia kuwaweka sawa katika jamii”,alisema Bw.Mwinuka.

    Akitoa shukrani zake kwa uongozi wa kituo cha NICO POLIC ACADEMY kaimu mganga mkuu wa Hospitari ya wilaya ya Ludewa Daktari. Frank Mwambasanga alisema kuwa kituo hicho ni mfano wakuigwa kwani wameonesha kuwa wapo kwaajili ya jamii na si vinginevyo.

    Dkt.Mwambasanga alisema kuwa kituo hicho kimetoa faraja kwa watoto hao ambao ni wagonjwa richa ya kuwa wamekuja kuwafundisha watoto wanaoishi kituoni hapo kushiriki katika shughuri za kijamii lakini kwa misaada yao na zawadi walizowabebea watoto wenzao nifaraja kubwa kwa wauguzi wao na wagonjwa kwa ujumla.

    Aidha Dkt. Mwambasanga aliwataka wadau na viongozi wa shule mbalimbali wilayani hapa kuiga mfano wa kituo hicho ambacho kinatambua umuhimu wa kuwatembelea wagonjwa kwani kwa kufanya hivyo wagonjwa watafarijika kutokana na hali halisi kuwa shule za wilaya ya Ludewa hazina utamaduni wa kuwatembelea wagonjwa.


    Mwisho.
    Kwa mara nyingine nchi ya Tanzania imeingia katika historia ya dunia. Moja ya maeneo ambayo yataona kupatwa kwa jua kwa asilimia zaidi ya tisini ni kutoka Tanzania eneo la mkoa wa Njombe na Mbeya, Nyanda za juu kusini mwa Tanzania.

    Katika kijiji cha Litundu kilichopo katika wilaya mpya ya Wanging'ombe tayari uongozi kutoka ngazi mbalimbali za serikali umefanya maandalizi ya kuwapokea wageni watakaoelekea maeneo hayo ili kujionea tukio hilo ambalo hutokea kwa nadra sana katika sayari ya dunia na inasemekana litatokea tena ifikapo mwaka 2096 au 2097. Tukio la kupatwa kwa jua katika eneo hilo litatokea saa tatu na dakika tatu na sekunde 56 (03:03 asubuhi) na litadumu kwa muda wa dakila tatu na sekunde tano nukta sita (03m5.6s). Pia wametoa angalizo kwa wananchi wa maeneo hayo juu ya athari wanazoweza kuzipata kwa kuangalia jua bila kutumia vifaa maalumu.

    Pia kutoka mkoa wa Mbeya eneo la Mbarali ndio eneo pekee ambalo watashuhudia tukio hilo kwa uzuri kabisa.

    Jionee ramani inayoonyesha jinsi kupatwa kwa jua kutakavyotokea siku ya kesho tarehe 1, Septemba 2016

    Kwa mara nyingine nchi ya Tanzania imeingia katika historia ya dunia. Moja ya maeneo ambayo yataona kupatwa kwa jua kwa asilimia zaidi ya tisini ni kutoka Tanzania eneo la mkoa wa Njombe na Mbeya, Nyanda za juu kusini mwa Tanzania.

    Katika kijiji cha Litundu kilichopo katika wilaya mpya ya Wanging'ombe tayari uongozi kutoka ngazi mbalimbali za serikali umefanya maandalizi ya kuwapokea wageni watakaoelekea maeneo hayo ili kujionea tukio hilo ambalo hutokea kwa nadra sana katika sayari ya dunia na inasemekana litatokea tena ifikapo mwaka 2096 au 2097. Tukio la kupatwa kwa jua katika eneo hilo litatokea saa tatu na dakika tatu na sekunde 56 (03:03 asubuhi) na litadumu kwa muda wa dakila tatu na sekunde tano nukta sita (03m5.6s). Pia wametoa angalizo kwa wananchi wa maeneo hayo juu ya athari wanazoweza kuzipata kwa kuangalia jua bila kutumia vifaa maalumu.

    Pia kutoka mkoa wa Mbeya eneo la Mbarali ndio eneo pekee ambalo watashuhudia tukio hilo kwa uzuri kabisa.

    Chezea vyote lakini usiuchezee moyo wa mwenzio (Picha ya siku)


    Egyptian club Al Ittihad sack Cameroon international Samuel Nlend after he tests positive for AIDS
    Cameroon forward Samuel Nlend
    Siku chache baada ya kusaini dili la kuichezea klabu ya Al Ittihad ya nchini Misri, Samuel Nlend (Miaka 21) amejikuta katika wakati mgumu baada ya mkataba wake kusitishwa kutokana na kukutwa na maambukizi ya virusi vya UKIMWI. Habari hizo ziliripotiwa na chombo cha habari kutoka Misri,   KingFut.com kuwa taaria hiyo ilitolewa na msemaji wa klabu hiyo alipokuwa akizungumza na vyombo vya habari.
    Hakuna sheria inayomkataza mtu kujishughulisha na masuala ya soka lakini Nlend hatoweza kupata nafasi ya kufanya kazi katika nchi nyingine kutokana na hali yake ya afya, aliongeza.
    Nini maoni na matazamo wako juu ya suala hili? 
    Usisite kuacha maoni yako hapa chini na tutayajibu.

    Mshambuliaji wa Cameroon asitishiwa mkataba baada ya kupatikana na maambukizi ya ukimwi

    Egyptian club Al Ittihad sack Cameroon international Samuel Nlend after he tests positive for AIDS
    Cameroon forward Samuel Nlend
    Siku chache baada ya kusaini dili la kuichezea klabu ya Al Ittihad ya nchini Misri, Samuel Nlend (Miaka 21) amejikuta katika wakati mgumu baada ya mkataba wake kusitishwa kutokana na kukutwa na maambukizi ya virusi vya UKIMWI. Habari hizo ziliripotiwa na chombo cha habari kutoka Misri,   KingFut.com kuwa taaria hiyo ilitolewa na msemaji wa klabu hiyo alipokuwa akizungumza na vyombo vya habari.
    Hakuna sheria inayomkataza mtu kujishughulisha na masuala ya soka lakini Nlend hatoweza kupata nafasi ya kufanya kazi katika nchi nyingine kutokana na hali yake ya afya, aliongeza.
    Nini maoni na matazamo wako juu ya suala hili? 
    Usisite kuacha maoni yako hapa chini na tutayajibu.
    Kupitia ukurasa wake wa facebook, Eddo Kumwembe aliandika kitu kuhusiana na dili hilo. Hichi ndicho alichokiandika 
    "DEAL DONE. Am happy kuwatangazia kuwa nimesaini deal na Supersport kwa ajili ya kuwa Mchambuzi wao katika matangazo ya Ligi Kuu England kwa kiswahili. Nitakuwa naenda Johannesburg kila Ijumaa na kurudi Dar es salaam Jumatatu...Thanks everyone."

    Mchambuzi wa soka nchini, Eddo Kumwembe ala shavu nchini Afrika ya kusini

    Kupitia ukurasa wake wa facebook, Eddo Kumwembe aliandika kitu kuhusiana na dili hilo. Hichi ndicho alichokiandika 
    "DEAL DONE. Am happy kuwatangazia kuwa nimesaini deal na Supersport kwa ajili ya kuwa Mchambuzi wao katika matangazo ya Ligi Kuu England kwa kiswahili. Nitakuwa naenda Johannesburg kila Ijumaa na kurudi Dar es salaam Jumatatu...Thanks everyone."

    Faith Chepgetich Kipyegon wa Kenya siku ya Jumanne alishinda mbio za mita 1500 za wanawake na kuipa Kenya medali ya tatu ya dhahabu katika michezo ya Olimpiki ya Rio 2016.
    Kipyegon alimtoka bingwa wa dunia Genzebe Dibaba wa Ethiopia katika dakika za mwisho na kumaliza mbio hizo katika muda wa dakika 4, sekunde 08.92 wakati Dibaba alichukua medali ya fedha katika muda wa dakika 4, sekunde 10.27
    Jennifer Simpson wa Marekani alichukua medali ya shaba katika nafasi ya tatu kwa muda wa dakika 4, sekundu 10.53
    Ushindi wa Kipyegon umeifanya Kenya kupata medali ya dhahabu kila siku kuanzia Jumapili na mpaka sasa ina medali tatu za dhahabu na tatu za fedha na kuongoza bara la Afrika ikifuatiwa na Afrika Kusini yenye medali moja ya dhahabu, nne za fedha na moja ya shaba

    Kenya yapeta Afrika, Faith Kipyegon anyakua medali ya dhahabu mita 1500 Rio Olympics


    Faith Chepgetich Kipyegon wa Kenya siku ya Jumanne alishinda mbio za mita 1500 za wanawake na kuipa Kenya medali ya tatu ya dhahabu katika michezo ya Olimpiki ya Rio 2016.
    Kipyegon alimtoka bingwa wa dunia Genzebe Dibaba wa Ethiopia katika dakika za mwisho na kumaliza mbio hizo katika muda wa dakika 4, sekunde 08.92 wakati Dibaba alichukua medali ya fedha katika muda wa dakika 4, sekunde 10.27
    Jennifer Simpson wa Marekani alichukua medali ya shaba katika nafasi ya tatu kwa muda wa dakika 4, sekundu 10.53
    Ushindi wa Kipyegon umeifanya Kenya kupata medali ya dhahabu kila siku kuanzia Jumapili na mpaka sasa ina medali tatu za dhahabu na tatu za fedha na kuongoza bara la Afrika ikifuatiwa na Afrika Kusini yenye medali moja ya dhahabu, nne za fedha na moja ya shaba

    Kama unakumbuka kwa muda sasa maeneo ya kariakoo yamekuwa hayana wamachinga katika maeneo ya barabara na kuacha njia nyingi kuwa wazi. Lakini kufuatia tamko la Mh. Raisi wamachinga hao wamerejea kwa kasi kubwa za mitaa ya kariakoo pembezoni mwa barabara huku suala hilo likiwa limefurahiwa na asiilimia kubwa ya wamachinga hao. Lakini kwa upande mwingine baadhi ya watu imeonekana ni kero kwao hasa wamiliki wa maduka kwani wanasema kuwa wamachinga hao wamekuwa wakiuza vitu hivyo kwa bei ya chini na kusababisha wateja kukimbilia kwao. Pia wengine wamelalamikia suala hilo kwani wamachinga hao wamekuwa wakileta shida katika maeneo ya barabara kwa kupanga vitu hadi maeneo ya barabara. 

    Kufuatia suala hilo Mh. Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam ametoa tamko kuhusiana na suala hilo. Msikilize hapo chini.

    Chanzo cha video VOA Swahili

    Sintofahamu ya wamachinga jijini Dar es salaam, Tanzania. Dina anakuelezea zaidi.


    Kama unakumbuka kwa muda sasa maeneo ya kariakoo yamekuwa hayana wamachinga katika maeneo ya barabara na kuacha njia nyingi kuwa wazi. Lakini kufuatia tamko la Mh. Raisi wamachinga hao wamerejea kwa kasi kubwa za mitaa ya kariakoo pembezoni mwa barabara huku suala hilo likiwa limefurahiwa na asiilimia kubwa ya wamachinga hao. Lakini kwa upande mwingine baadhi ya watu imeonekana ni kero kwao hasa wamiliki wa maduka kwani wanasema kuwa wamachinga hao wamekuwa wakiuza vitu hivyo kwa bei ya chini na kusababisha wateja kukimbilia kwao. Pia wengine wamelalamikia suala hilo kwani wamachinga hao wamekuwa wakileta shida katika maeneo ya barabara kwa kupanga vitu hadi maeneo ya barabara. 

    Kufuatia suala hilo Mh. Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam ametoa tamko kuhusiana na suala hilo. Msikilize hapo chini.

    Chanzo cha video VOA Swahili



    Kwa utafiti mfupi na wa haraka nimegundua nchi ambazo ‪raia‬ wake ni wachapakazi ndizo zenye maendeleo makubwa duniani. Hivyo nikakumbuka ile tafiti ya watu, sikumbuki taasisi gani waliyofanya wakasema katika Afrika mashariki ‪‎Watanzania ndio huongoza kwa matumizi ya mitandao ya kijamii. Ndipo nikafanya connection kati ya maendeleo na mitandao ya kijamii na kuwaza labda Tanzania hatuna maendeleo makubwa kwa sababu ya matumizi makubwa na hasi ya mitandao ya kijamii inayopelekea kusifanyike kazi za kimaendeleo ipasavyo.

    Nikawa natafuta mfano mahususi na kupata mfano ambao unathibitisha hilo. Mfano niliyoichukua ni katika kundi moja la WhatsApp nililoachana nalo baada ya kukaa kwa muda wa wiki mbili tu. Kwanza niliona ajabu sana siku za kazi (Jumatatu - Ijumaa) watu wako bize kuchati mambo yasiyokuwa na maana na wanachangamka kweli kweli. Lakini siku za wikendi walikuwa kimya kabisa, ndipo nikajithibitishia kuwa laiti kama ule muda mrefu wa kuchati ungekuwa unatumika ipasavyo kwenye kazi ninauhakika uzalishaji mali na huduma ungekuwa mkubwa sana katika sekta zote yaani binafsi na serikalini. Pia kungekuwa na ufanisi mkubwa sana katika kazi kwani muda wa kazi watu wangefanya kazi kwa umakini zaidi na muda wa mapumziko baada ya kazi na siku za wikendi zingetumika kuchati.

    NB: Time management is a vital factor for sustainable Development

    Matumizi ya mitandao ya kijamii na maendeleo ya Watanzania/Tanzania




    Kwa utafiti mfupi na wa haraka nimegundua nchi ambazo ‪raia‬ wake ni wachapakazi ndizo zenye maendeleo makubwa duniani. Hivyo nikakumbuka ile tafiti ya watu, sikumbuki taasisi gani waliyofanya wakasema katika Afrika mashariki ‪‎Watanzania ndio huongoza kwa matumizi ya mitandao ya kijamii. Ndipo nikafanya connection kati ya maendeleo na mitandao ya kijamii na kuwaza labda Tanzania hatuna maendeleo makubwa kwa sababu ya matumizi makubwa na hasi ya mitandao ya kijamii inayopelekea kusifanyike kazi za kimaendeleo ipasavyo.

    Nikawa natafuta mfano mahususi na kupata mfano ambao unathibitisha hilo. Mfano niliyoichukua ni katika kundi moja la WhatsApp nililoachana nalo baada ya kukaa kwa muda wa wiki mbili tu. Kwanza niliona ajabu sana siku za kazi (Jumatatu - Ijumaa) watu wako bize kuchati mambo yasiyokuwa na maana na wanachangamka kweli kweli. Lakini siku za wikendi walikuwa kimya kabisa, ndipo nikajithibitishia kuwa laiti kama ule muda mrefu wa kuchati ungekuwa unatumika ipasavyo kwenye kazi ninauhakika uzalishaji mali na huduma ungekuwa mkubwa sana katika sekta zote yaani binafsi na serikalini. Pia kungekuwa na ufanisi mkubwa sana katika kazi kwani muda wa kazi watu wangefanya kazi kwa umakini zaidi na muda wa mapumziko baada ya kazi na siku za wikendi zingetumika kuchati.

    NB: Time management is a vital factor for sustainable Development

    Like, share and send to friends

    Jiunge nasi